Wanakijiji wa Fikra pevu

regnaldshirima

Senior Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
124
Reaction score
78
wanajamii wakubwa shikamoo,rika langu mambo vip,wadogo zangu marhabah.nami nime hamia katika jamii hii ijengayo na kupanua fikra na mawazo chanya katika mawazo, nakingojea kijiti toka kwako mwana jamiiforum nianze.
 
Marahaba mgeni.
Karibu sana jamvini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…