Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Vijana wanazitumia kuwala wanakwaya wenzaoNenda makanisani huko zimejaa si kidogo.
Umaskini unakusumbua sana asee na ukiendelea hivyo utaliwa ndogoKaunda suti ilikuwa na hadhi waungwana, kaunda suti ukiivaa hata ukitembea kwa miguu unakuwa na thamani kubwa enzi hizo.
Sasa hawa ma MC walioibuka kama uyoga kila mmoja ana kaunda suti zake. Yaani mtu akichapwa na maisha tu anajiita MC na cha kwanza ni kushona kaunda suti.
Wewe MC acha mara moja kuvaa kaunda. Kanunua suti za Mtailandi KariakooUmaskini unakusumbua sana asee na ukiendelea hivyo utaliwa ndogo
πππ Tulia ww sina ujuzi huoWewe MC acha mara moja kuvaa kaunda. Kanunua suti za Mtailandi Kariakoo
Kumbe wamepiga marufuku.Hahahahaa......mkuu yani mpaka bunge la kenya sa hv limepiga marufuku kaunda suti ndani ya bunge
Na watumishi wa Halmashauri ni kama wanashindana kushonda kaunda, bila kuwasahau na Wanasiasa halafu pembeni juu ya mfuko kuna kabendera ka Taifa na kwa kumalizia kuna wanaojifanya Usalama wa Taifa umewasahau nao?Kaunda suti ilikuwa na hadhi waungwana, kaunda suti ukiivaa hata ukitembea kwa miguu unakuwa na thamani kubwa enzi hizo.
Sasa hawa ma MC walioibuka kama uyoga kila mmoja ana kaunda suti zake. Yaani mtu akichapwa na maisha tu anajiita MC na cha kwanza ni kushona kaunda suti.
Hii nchi ngumu sanaNa watumishi wa Halmashauri ni kama wanashindana kushonda kaunda, bila kuwasahau na Wanasiasa halafu pembeni juu ya mfuko kuna kabendera ka Taifa na kwa kumalizia kuna wanaojifanya Usalama wa Taifa umewasahau nao?
Mtihani mzitoNa wakuu wa shule nao,wanazinyuka haswaa...