Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
Wasanii wa muziki nchini Kenya wamekuwa wakiandamana katika mitaa ya jiji la Nairobi, kutaka vituo vya redio na TV kupiga zaidi muziki wa wasanii wa nyumbani. Wanataka aslimia 70 ya muda wa matangazo kuelekezwa kwa muziki wa wasanii kutoka Kenya.
Kumekuwa na majaribio kadhaa ya kutaka iwepo sheria inayolazimisha vituo vya redio kufanya hivyo, lakini hatua hizo hazijazaa matunda.
Kumekuwa na majaribio kadhaa ya kutaka iwepo sheria inayolazimisha vituo vya redio kufanya hivyo, lakini hatua hizo hazijazaa matunda.