Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Asante mkuu nilijua mwenye shares nyingi ni DreMkuu, "Beats by Dre" haikuwa ya Dre peke yake. Ilikuwa ni joint venture, kuna watu wengine pia waliwekeza humo. Ilipouzwa kila mwekezaji alipewa pasu kutokana na hisa zake, sio kwamba Dre alipewa $3Bn zote. Halafu Uncle Sam naye lazima alichukua zake humo humo!
Hapana. Actually kampuni ya kutengeneza simu ya HTC ndio walikuwa majority shareholders kabla ya kuuza share zao kwa mfuko wa uwekeza wa Carlyle Group. Pia CEO na partner wa siku nyingi wa Dre kwenye biashara ya muziki Jimmy Iovine naye alikuwa shareholder.Asante mkuu nilijua mwenye shares nyingi ni Dre
Hahaaa eti 50 cent kafilisika!Nigga don't know shit!!jombaa huyo inasemekana amefilisika mpka akaweka mjengo wake sokon.
Hahaha kwani alikua anazungumzia wapi? Ni tajiri kwa hapa TzNilimsikia Diamond akisema yeye ni mwanamziki Tajiri wakati anahojiwa na Clouds mbona simuoni hapo kwenye list? Au Mwanamziki Tajiri wa MADALE?
Comment yako inafanana na DP yako kwa profileNilimsikia Diamond akisema yeye ni mwanamziki Tajiri wakati anahojiwa na Clouds mbona simuoni hapo kwenye list? Au Mwanamziki Tajiri wa MADALE?
Kuna mmama anaitwa madonna hata didy hagusi ana utititri wa hela kisenge 1B U$Kanye West Vp!! Watuambie Na Upande Wa Kikeni Nani Mwenye Mawe Ya Kutosha? Namuona Mke Wa Jayz! Ila Mke Wa Diddy Simuoni!!!
Mkuu ujasiliamali ni moja ya misingi/nguzo ya hip hop, kwahiyo kinachofanyika ni sawa ukizingatia na huu ni mfumo ya ubepari, unachokipata lazima uwekeze ili ujiongezee kipatoIngefaa kuitwa "washika dau wa hip hop" rather. Watu kama Diddy na Birdman ni wafanya biashara/wawekezaji kwanza, usanii/uanamuziki badae. Ingependeza pia zihesabiwe hela walizotengeneza kupitia hip-hop pekee, coz watu kama Drake na Diddy wanafanya pop pia.
Mkuu ujasiliamali ni moja ya misingi/nguzo ya hip hop, kwahiyo kinachofanyika ni sawa ukizingatia na huu ni mfumo ya ubepari, unachokipata lazima uwekeze ili ujiongezee kipato