nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
Ukiniambia muimbaji gani wa nyimbo za injili ninayemkubali nchini nitakuambia .
Ambwene Mwasongwe.
Boaz dunken.
Dr ipyana.
Abiudi misholi.
Paul mwangosi.
Wanaimba nyimbo katika roho na kweli,na hawana skendo za ovyo.
Sijamuona bado mwanamziki wa nyimbo za kike anayeimba rohoni kwa Tanzania
Ambwene Mwasongwe.
Boaz dunken.
Dr ipyana.
Abiudi misholi.
Paul mwangosi.
Wanaimba nyimbo katika roho na kweli,na hawana skendo za ovyo.
Sijamuona bado mwanamziki wa nyimbo za kike anayeimba rohoni kwa Tanzania