DOKEZO Wananchi Halmashauri ya Mbulu Mjini hatujui hatma ya pesa tulizochanga kwa ajili ya ujenzi wa Kituo kipya cha magari

DOKEZO Wananchi Halmashauri ya Mbulu Mjini hatujui hatma ya pesa tulizochanga kwa ajili ya ujenzi wa Kituo kipya cha magari

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Wananchi walichanga pesa Tsh 5,000 kwa kila kaya kwa ajili ya ujenzi wa kituo mpya cha magari ya halmashauri, lakini cha ajabu mpaka sasa wananchi hawajui zile PESA zimefanya nini na kiasi gani kilikusanywa mpaka Leo.

Ujenzi wa stand haujafanikiwa na wala hamna anayefikiria ujenzi huo.

Je, ni lini ujenzi utaanzaa? Nini hatma ya pesa zetu?
 
Kwa taarifa nilizopewa, maelezo si sahihi. Walichanga elfu 5 kwa ajili ya kununua eneo la kuweka stendi na lilishanunuliwa ila ujenzi ndo bado haujatekelezwa. Hivyo elfu 5 ilikuwa ni kwa ajili ya eneo na si ujenzi. Nawasilisha.
 
Wananchi walichanga pesa Tsh 5,000 kwa kila kaya kwa ajili ya ujenzi wa kituo mpya cha magari ya halmashauri, lakini cha ajabu mpaka sasa wananchi hawajui zile PESA zimefanya nini na kiasi gani kilikusanywa mpaka Leo.

Ujenzi wa stand haujafanikiwa na wala hamna anayefikiria ujenzi huo.

Je, ni lini ujenzi utaanzaa? Nini hatma ya pesa zetu?
Katika Halmashauri zitakazochelewa sana kupata maendeleo basi ni Halmashauri ya Mbulu.

Yaani haiendelei miaka na miaka na ni Halmashauri ya zamani sana kuliko hata Babati na halmashauri zingine

Yaani imechoka, imefubaa na zile land cruiser namba A sasa

Viongozi wa pale wanakula sana fedha za walipa kodi na michango ya maendeleo...nafikiri kwasababu ni watu wa jamii moja wamejaa pale
 
Kwa taarifa nilizopewa, maelezo si sahihi. Walichanga elfu 5 kwa ajili ya kununua eneo la kuweka stendi na lilishanunuliwa ila ujenzi ndo bado haujatekelezwa. Hivyo elfu 5 ilikuwa ni kwa ajili ya eneo na si ujenzi. Nawasilisha.
Zilichangwa pesa kiasi gani mkuu
 
Back
Top Bottom