The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Rais Samia, kama kiongozi wa nchi ameendelea kusimamia jitihada za kuhakikisha wanawake wanapata huduma ya maji karibu na maeneo yao ili kuwaondolea mzigo wa kutembea umbali mrefu.
Hatua hii imewezesha wakazi wa Bongi kupata maji safi na salama, hali inayoboresha afya zao, kuongeza muda wa kushiriki katika shughuli za kiuchumi na kijamii, na kupunguza hatari wanazokabiliana nazo wakati wa kutafuta maji.
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025