Mchokonoaji
Member
- Oct 1, 2009
- 26
- 1
sisiemu iliuzwa na kununuliwa na mtu mmoja anayeimiliki igunga na watu wake. mtamwambia nini kama hata uraia wake si halali lakini hawekewi pingamizi?
tuitoe sisiemu madarakani ndipo tutaweza kurudisha utawala mikononi mwa wananchi.