johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais wa Nchi Jirani amefurahishwa na kitendo cha Wananchi Kujadili Ongezeko la Deni la Taifa na Kodi
Rais huyo amesema hiyo inaonyesha jinsi Wananchi Wanavyojitambua na Ukomavu wa Demokrasia
Hapa Tanzania Wananchi wengi Hata hawajui maana ya Deni la Taifa, wao huridhika wakiambiwa " hamtagongewa majumbani mwenu mlipe"
Mungu wa Mbinguni Ibariki Africa
Rais huyo amesema hiyo inaonyesha jinsi Wananchi Wanavyojitambua na Ukomavu wa Demokrasia
Hapa Tanzania Wananchi wengi Hata hawajui maana ya Deni la Taifa, wao huridhika wakiambiwa " hamtagongewa majumbani mwenu mlipe"
Mungu wa Mbinguni Ibariki Africa