Elections 2010 Wananchi kujitokeza kwenye kampeni za rais kikwete


Wewee sisi tunayaona mafuso kwa mafuso au hujasikia yaliyojiri Dodoma....halafu watu wanafuata fuata burudani za muziki kwenye mikutano ya JK na si hoja zake...jaribuni kuondoa hizo burudani muone nani atakuja.....kama huamini muulize Dr Bilal
 
Utafiti wangu umeonyesha kuwa katika kipindi hiki tangu Dk Slaa azindue kampeni watu wengi, wakiwemo polisi, wanamuunga mkono. Juzi nilikuwa naongea na jamaa mmoja wa Usalama wa Taifa, naye anasema anamkubali sana Dk Slaa na anaamini atakuwa rais bora kabisa kutokea katika taifa hili. Dk Slaa ana msukumo wa dhati wa kuleta maendeleo kwa nchi hii.
 


Hii haitoshi kuwashawishi wapiga kura wake. kwani watz wanaotembelea JF ni wachache sana kulinganisha na idadi ya watz waliojiandikisha kupiga kura hali kdhalika na watz watakaopiga kura.
 
Hii haitoshi kuwashawishi wapiga kura wake. kwani watz wanaotembelea JF ni wachache sana kulinganisha na idadi ya watz waliojiandikisha kupiga kura hali kdhalika na watz watakaopiga kura.

Pole sana; muda wako wa kuendelea kula bila kufanya kazi umekwisha.....kaungane na yule mkuu wa wilaya aliyelia mbele ya viakao vya majambazi wenziwe. Au nenda kamjulie hali majeruhi Bendera maana hali yake ni mbaya........
 
Poor woman! Tanzania bila Kikwete haiwezekani? What a joke and an insult to Tanzanians.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…