Wananchi tusiishie kulipa kodi peke yake, bali twende mbali zaidi kwa ajili ya Taifa letu. Sasa tujitolee kwa hali na mali

Wananchi tusiishie kulipa kodi peke yake, bali twende mbali zaidi kwa ajili ya Taifa letu. Sasa tujitolee kwa hali na mali

Wafuasi wa Rais

Senior Member
Joined
May 31, 2023
Posts
151
Reaction score
147
Ndugu wananchi wenzangu!

Kulipa kodi ni suala la kisheria. Lazima kila mwenye kipato alipe kodi.

Tusiishie hapo. Twende mbali zaidi. Tujitolee bure kwa ajili ya Taifa letu wenyewe. Kujitolea sio suala la kisheria kwa sasa. Sio lazima kwa sasa. Lakini kuna wengi tunaotamani hata liwe la kisheria. Liwe la lazima kwa ustawi wa Taifa letu wenyewe.

Mara nyingine huna kipato lakini una nguvu na akili na maarifa mengi. Tutumie nguvu hizo na hizo akili na maarifa kujitolea kwa ajili ya Taifa letu.

Tujitolee kwa niaba ya Rais kwa kuwa yeye ndio kiongozi mkuu wa nchi. Yeye ndio mwakilishi mkuu wa wananchi wa Taifa letu.

Tukifanya hvyo, tutakuwa tunajenga Taifa letu la mfano mzuri na bora zaidi kwa kizazi hadi kizazi.
 
Tunataka tuone kwanza matumizi sahihi ya kodi zetu. Sio mnajinunulia mishangingi ya million 500 na kununua pikipiki za billion 54 mnachezea kodi zetu kila siku kubuni tozo halafu mnataka tuwe wazalendo.

Anzeni kuwajibikia nyie. Pambaf
 
Kiongozi upo sahihi kabisa ila lazima katiba ibadilishwe: hii nchi ipo chini ya watu wachache sana ambao wananufaika na ambao wana pesa na mamlaka kubwa sana.
 
Kabisaa,, Na hatuna shida kabisaa katika kujitolea na ndio Maana sisi vijijini tunajenga shule na Barabara kwa nguvu zetu wenyewe. Lakin kinacho turudisha nyuma ni Serikal kuwa na Matumizi makubwa ya Pesa zetu kwa mambo yasiyo na Masingi. Utitiri ya Maviongozi ambao wengine hata majukumu yao hawajui na ndio maana kila kitu utamsikia wanamtaja Raisi wetu Mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan.

Ninachoaminigi siku zote kuwa Nchi zetu za Kiafrika sio masikini hata kidogo, ila Umasikini unasababishwa na Kikundi kidogo cha watawala, Kwani Wengi wao wamekuwa wabinafsi wenye kujali Matumbo yao na Familia zao. Ndio maana hushangai kumuona Kiongozi yuko busy kusifia tuu Mamlaka zilizomteua. Wenye kufanya maamuzi wanashindwa kuwawajibisha wanaokosea kwa sababu hata wao si wasafi.

Yote kwa Yote Mi niko tayari kujitolea kwa Taifa langu ili Kama taifa tuwe na Kesho nzuri zaidi ya Leo na Jana
 
Tujitolee kwenye nini? Ni rasimi sasa kodi zetu zinaishia kwa mafisadi ya ccm?

Kwamba tujifanye kuwa tingatinga sisi tuingie kuchimba barabara ya ubungo to kibaha siyo?
 
Unaacha kutushauri kuhakikisha tunasimamia matumizi ya kodi zetu unatuambia kujitolea kweli unatutakia mema
 
Kwenye kujitolea, viongozi, tukianza na Raisi, walipaswa kuonyesha mfano. Sioni kwanini wasijitolee kupunguza mishahara, posho, na marupurupu, wanayopata.
 
Ndugu wananchi wenzangu!

Kulipa kodi ni suala la kisheria. Lazima kila mwenye kipato alipe kodi.

Tusiishie hapo. Twende mbali zaidi. Tujitolee bure kwa ajili ya Taifa letu wenyewe. Kujitolea sio suala la kisheria kwa sasa. Sio lazima kwa sasa. Lakini kuna wengi tunaotamani hata liwe la kisheria. Liwe la lazima kwa ustawi wa Taifa letu wenyewe.

Mara nyingine huna kipato lakini una nguvu na akili na maarifa mengi. Tutumie nguvu hizo na hizo akili na maarifa kujitolea kwa ajili ya Taifa letu.

Tujitolee kwa niaba ya Rais kwa kuwa yeye ndio kiongozi mkuu wa nchi. Yeye ndio mwakilishi mkuu wa wananchi wa Taifa letu.

Tukifanya hvyo, tutakuwa tunajenga Taifa letu la mfano mzuri na bora zaidi kwa kizazi hadi kizazi.
NADHANI BAADA YA KUTOA KODI HATUA INAYOFUATA NI KUFUALIA MATUMIZI YAKE
 
Ndugu wananchi wenzangu!

Kulipa kodi ni suala la kisheria. Lazima kila mwenye kipato alipe kodi.

Tusiishie hapo. Twende mbali zaidi. Tujitolee bure kwa ajili ya Taifa letu wenyewe. Kujitolea sio suala la kisheria kwa sasa. Sio lazima kwa sasa. Lakini kuna wengi tunaotamani hata liwe la kisheria. Liwe la lazima kwa ustawi wa Taifa letu wenyewe.

Mara nyingine huna kipato lakini una nguvu na akili na maarifa mengi. Tutumie nguvu hizo na hizo akili na maarifa kujitolea kwa ajili ya Taifa letu.

Tujitolee kwa niaba ya Rais kwa kuwa yeye ndio kiongozi mkuu wa nchi. Yeye ndio mwakilishi mkuu wa wananchi wa Taifa letu.

Tukifanya hvyo, tutakuwa tunajenga Taifa letu la mfano mzuri na bora zaidi kwa kizazi hadi kizazi.
Yaani tulipe mikodi mikubwa mikubwa wanunue V8 halafu tujitolee.

Badala ya kuwaeleza waache kuchezea kodi unataka tuwafanyie kazi wanazotakiwa kuzifanya.
 
Ndugu wananchi wenzangu!

Kulipa kodi ni suala la kisheria. Lazima kila mwenye kipato alipe kodi.

Tusiishie hapo. Twende mbali zaidi. Tujitolee bure kwa ajili ya Taifa letu wenyewe. Kujitolea sio suala la kisheria kwa sasa. Sio lazima kwa sasa. Lakini kuna wengi tunaotamani hata liwe la kisheria. Liwe la lazima kwa ustawi wa Taifa letu wenyewe.

Mara nyingine huna kipato lakini una nguvu na akili na maarifa mengi. Tutumie nguvu hizo na hizo akili na maarifa kujitolea kwa ajili ya Taifa letu.

Tujitolee kwa niaba ya Rais kwa kuwa yeye ndio kiongozi mkuu wa nchi. Yeye ndio mwakilishi mkuu wa wananchi wa Taifa letu.

Tukifanya hvyo, tutakuwa tunajenga Taifa letu la mfano mzuri na bora zaidi kwa kizazi hadi kizazi.
Nilidhani utashauri tusiishie kulipa kodi tu tusimamie na amtumizi yake na kuhoji baadhi ya matumizi. Maana tukishalipa tu matumizi yanayokuwa kama hayatuhusu inabaki kuwa pesa za mama si za wananchi tena.
 
Tunataka tuone kwanza matumizi sahihi ya kodi zetu. Sio mnajinunulia mishangingi ya million 500 na kununua pikipiki za billion 54 mnachezea kodi zetu kila siku kubuni tozo halafu mnataka tuwe wazalendo.

Anzeni kuwajibikia nyie. Pambaf
Unakosea ndugu yangu. Hizo Kodi ukishatoa siyo hela zetu tena kama wanavyodai vijana wa Gen Z huko Kenya kuwa Kodi zao zitumiwe vizuri, siyo itumiwe kwa ajili ya anasa za viongozi Wa Serikali. Hizo ni hela za mama kwa huku kwetu Tz. Mana hela zote za maendeleo ni mama katoa. Ht Kodi zetu sijui huwa zinaenda wapi km mama tayari ana hela nyingi kiasi hicho. Hata wakitumia hovyo Kodi zetu hatupaswi kuuliza kwa sababu ni hela za Rais. Upumbavu mkubwa ambao sijapata kuusikia mahali popote Duniani.
 
Unakosea ndugu yangu. Hizo Kodi ukishatoa siyo hela zetu tena kama wanavyodai vijana wa Gen Z huko Kenya kuwa Kodi zao zitumiwe vizuri, siyo itumiwe kwa ajili ya anasa za viongozi Wa Serikali. Hizo ni hela za mama kwa huku kwetu Tz. Mana hela zote za maendeleo ni mama katoa. Ht Kodi zetu sijui huwa zinaenda wapi km mama tayari ana hela nyingi kiasi hicho. Hata wakitumia hovyo Kodi zetu hatupaswi kuuliza kwa sababu ni hela za Rais. Upumbavu mkubwa ambao sijapata kuusikia mahali popote Duniani.
Ni masikitiko makubwa. Ila kuna wapumbavu wanabubujikwa machozi kwa maendeleo anayofanya mama
 
Tunataka tuone kwanza matumizi sahihi ya kodi zetu. Sio mnajinunulia mishangingi ya million 500 na kununua pikipiki za billion 54 mnachezea kodi zetu kila siku kubuni tozo halafu mnataka tuwe wazalendo.

Anzeni kuwajibikia nyie. Pambaf
Niambie unafuatiliaje matumizi ukiwa kama mwananchi wa kawaida? Ni ngumu.

Lakini tunaweza kukuambia utajitoleaje ukiwa km mwananchi wa kawaida. Kuna mambo mengi ambayo yanahitaji nguvu ya wananchi kujitolea na sio fedha.
 
Niambie unafuatiliaje matumizi ukiwa kama mwananchi wa kawaida? Ni ngumu.

Lakini tunaweza kukuambia utajitoleaje ukiwa km mwananchi wa kawaida. Kuna mambo mengi ambayo yanahitaji nguvu ya wananchi kujitolea na sio fedha.
Wewe ni mpumbavu. Ina maana nikiwa kama mwananchi sitakiwi kujua kodi yangu inatumikaje?

Mwigulu acha dharau. Nakuambia acha ujinga. Utatoka tu
 
Hawa manabii nao wafanye mahesabu ya mwezi ili wapeleke serikalini sehemu ya 10 ya kipato Chao.
 
Back
Top Bottom