Jeshi la polisi nchini linatakiwa kuwa imara katika kukabiliana na wahalifu ambao wamekuwa wakiwavamia watu na kuwapora pesa na mali zao, kisha kuwajeruhi kwa vipigo.
HUYU KAKUMBANA NA WAHALIFU HAO
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Mkazi huyu wa Kijitonyama ambaye jina lake halikufahamika, alikumbwa na dhahama la vibaka akiwa amejipumzisha barazani mwa nyumba anayoishi ambapo licha ya kumpora simu yake, walimcharanga kwa mapanga.