Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Msolovea Gasto Kikuji kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) akiweka usawa na kupima eneo kabla ya kuanza kwa ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya kilombero, Mkoani Morogoro.
Daraja la awali la wananchi wa Kata ya Chita Melela lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro, ambalo limekuwa likitumiwa na wakazi maeneo hayo kabla ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kutengeneza Daraja jipya la Chuma (Mabey Bridge) chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Uingereza (DFID).
Wahandisi kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wakiwa katika ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro.
Wahandisi kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wakiwa katika ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro.
Wahandisi kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wakiwa katika ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro.
Baadhi ya wananchi wa Kata ya Chita Melela wakishuhudia ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi (halipo pichani) katika Halmashauri ya Wilaya ya kilombero, Mkoani Morogoro.
Mtaalamu wa Ufundi John Hinderer kutoka Kampuni ya Mabey Bridge ya nchini Uingereza akiwapa maelekezo Wahandisi kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) jinsi ya kulifunga Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro.
Muonekano wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro baada ya kukamilika kwa ujenzi wa awali ambapo uzinduzi rasmi wa Daraja hilo utafanyika hivi karibuni.