Tetesi: Wananchi wa kata ya Chita Melela waishukuru Tarura

Tetesi: Wananchi wa kata ya Chita Melela waishukuru Tarura

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
PICHA-2-8-1024x683.jpg



Msolovea Gasto Kikuji kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) akiweka usawa na kupima eneo kabla ya kuanza kwa ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya kilombero, Mkoani Morogoro.


PICHA-1-7-1024x683.jpg



Daraja la awali la wananchi wa Kata ya Chita Melela lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro, ambalo limekuwa likitumiwa na wakazi maeneo hayo kabla ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kutengeneza Daraja jipya la Chuma (Mabey Bridge) chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Uingereza (DFID).


PICHA-3-7-1024x683.jpg



Wahandisi kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wakiwa katika ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro.


PICHA-4-5-1024x683.jpg



Wahandisi kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wakiwa katika ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro.


PICHA-5-5-1024x683.jpg



Wahandisi kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wakiwa katika ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro.


PICHA-6-3-1024x683.jpg



Baadhi ya wananchi wa Kata ya Chita Melela wakishuhudia ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi (halipo pichani) katika Halmashauri ya Wilaya ya kilombero, Mkoani Morogoro.


PICHA-71-1024x683.jpg



Mtaalamu wa Ufundi John Hinderer kutoka Kampuni ya Mabey Bridge ya nchini Uingereza akiwapa maelekezo Wahandisi kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) jinsi ya kulifunga Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro.


PICHA-8-1-1024x683.jpg



Muonekano wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro baada ya kukamilika kwa ujenzi wa awali ambapo uzinduzi rasmi wa Daraja hilo utafanyika hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom