Uchaguzi 2020 Wananchi wa Kimamba wamhakikishia Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao. Atangaza nia

Salalee hivi mnamsikiliza Kabudi anavyojipendekeza kwa wananchi anajifanya anasalimia kiluga wamemchunia.
 
Unaijua kibamba au unaisikia? Uku hakuna anayetegemea tshirt za CCM wala buku buku zenu, tunachagua upinzani ili nao wale keki ya taifa
 
Maamuzi ya mwisho yako kamati kuu bwashee.

Chama kikikuhitaji bungeni haijalishi kura za maoni umefeli au umefaulu....utapitishwa!

Utaratibu wa chama kukuhitaji ni kupitia kura za maoni. Hayo maamuzi ya kamati kuu, ni utashi wa mwenyekiti fullstop.
 
Wanabodi, Mambo yamekuwa mambo.

Leo yule gwiji wa sheria za katiba ametangaza nia kugombea ubunge Kilosa.

Amezaliwa kilosa na kukulia kilosa, CCM ina wenyewe.

Wewe uliyepangwa kugombea kilosa jiandae kukatwa jina.
 
Jana kwny Tv nilimuona Waziri wa Fedha Philip akikagua Dispensary huko kwao kigoma jimbo linaitwa buhigwa(kama sijakosea) nikajua tayari ndio nia imeshatangazwa hapo.
 
Wananchi (wapiga kura) wa jimbo lote walikuwa mkutanoni?

Au wapiga wa jimbo hilo waliwatuma wenzao kuja kumwambia Mheshimiwa kuwa wao wamekaa na kukubaliana kumpa kura ndugu Kabudi ambaye hata bado hayapita kwenye kura za maoni?
 
Ni wakati wa hafla ya kuzindua handaki kubwa la reli ya kisasa.
Mbunge wa Jimbo Hilo alianza kuzomewa na wananchi alipokaribishwa kuwazalimu.

2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…