Wakihojiwa juu ya hali ngumu ya maisha wananchi hao wametupia lawama serikali lakini zaidi wabunge wao kua tatizo.
Wananchi hao Kwa nyakati tofauti wameonesha kukerwa na kuzorota Kwa maisha huku biashara nyingi zikifa kibudu.
Mwanamama mmoja katika mahojiano hayo akiongea Kwa uchungu amesema:
Vijana kadhaa wamelaani pia ufisadi kwenye mafuta ambayo makampuni ya viongozi huyauza kimagendo kwenye mataifa mengine, vijana hao pia wamelalamikia ukosefu wa ajira na kulaani zaidi mipango mibovu inayopitishwa na bunge na sera zisizo eleweka dhidi ya taifa lao, Venezuela kumekucha.
Kwa sasa hawamtaki maduro na Spika wa Bunge lao kwa kuunda genge la mafisadi huku wakiteteana.
Wananchi hao Kwa nyakati tofauti wameonesha kukerwa na kuzorota Kwa maisha huku biashara nyingi zikifa kibudu.
Mwanamama mmoja katika mahojiano hayo akiongea Kwa uchungu amesema:
"Tazama waliondoa kipengele cha ukomo wa kukaa bungeni miaka kumi na sasa watagombea milele na kukaa bungeni hadi wafe. Bunge hilo wanachaguana wao na wako wengi wa chama tawala hivo inakua ngumu kututetea wananchi zaidi wanatetea chama chao na familia zao "
Vijana kadhaa wamelaani pia ufisadi kwenye mafuta ambayo makampuni ya viongozi huyauza kimagendo kwenye mataifa mengine, vijana hao pia wamelalamikia ukosefu wa ajira na kulaani zaidi mipango mibovu inayopitishwa na bunge na sera zisizo eleweka dhidi ya taifa lao, Venezuela kumekucha.
Kwa sasa hawamtaki maduro na Spika wa Bunge lao kwa kuunda genge la mafisadi huku wakiteteana.