Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao, mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu

Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao, mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu kama kumaliza ugaidi

Waweza kamata mtu asaidie uchunguzi akataja wengine .Wakawa hao wengine wanatafutwa kwa udi na uvumba polisi hawawezi tu kila muda wakishika mtu kesho mahakamani na kutangaza vyombo vya habari kuwa tunaye wakati kuna mapapa wanatafutwa.

Hata Marekani nchi iliyoendelea walishikwa watu kibao kwa ugaidi wamekaa muda mrefu wengine miaka bila kufunguliwa mashtaka na baadaye wengine wakaachiwa

Ugaidi na utekaji polisi wanstakiwa wapewe muda na nafasi ya kutosha vinginevyo wakiwa ropoka ropoka vyombo vya habari kufurahisha baraza waweza vuruga kila kitu .Usiri mkubwa hutakiwa hadi kieleweke kutowapa mwanya watekaji waliosalia mitaani wanaotafutwa kukamatwa ku escape Au kubadili mbinu nk

U polisi ni Proffession kama zingine uheshimiwe Wakiambiwa fuatilieni hili wanakuwa kazini hasa seriously

Kesi za utekaji na ugaidi sio fast food kuwa sasa hivi linatokea sasa hivi utoe majibu ya waliohusika
 
Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu kama kumaliza ugaidi

Waweza kamata mtu asaidie uchunguzi akataja wengine .Wakawa hao wengine wanatafutwa kwa udi na uvumba polisi hawawezi tu kila muda wakishika mtu kesho mahakamani na kutangaza vyombo vya habari kuwa tunaye wakati kuna mapapa wanatafutwa
Hata Marekani nchi iliyoendelea walishikwa watu kibao kwa ugaidi wamekaa muda mrefu wengine miaka bila kufunguliwa mashtaka na baadaye wengine wakaachiwa

Ugaidi na utekaji polisi wanstakiwa wapewe muda na nafasi ya kutosha vinginevyo wakiwa ropoka ropoka vyombo vya habari kufurahisha baraza waweza vuruga kila kitu .Usiri mkubwa hutakiwa hadi kieleweke kutowapa mwanya watekaji waliosalia mitaani wanaotafutwa kukamatwa ku escape Au kubadili mbinu nk

U polisi ni Proffession kama zingine uheshimiwe Wakiambiwa fuatilieni hili wanakuwa kazani hasa seriously

Kesi za utekaji na ugaidi sio fast food kuwa sasa hivi linatokea sasa hivi utoe majibu ya waliohusika
Ukikamatwa wewe tutawaacha. Tupe contact zako kamili ili yakikufika tukukimbie
 
Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu kama kumaliza ugaidi

Waweza kamata mtu asaidie uchunguzi akataja wengine .Wakawa hao wengine wanatafutwa kwa udi na uvumba polisi hawawezi tu kila muda wakishika mtu kesho mahakamani na kutangaza vyombo vya habari kuwa tunaye wakati kuna mapapa wanatafutwa
Hata Marekani nchi iliyoendelea walishikwa watu kibao kwa ugaidi wamekaa muda mrefu wengine miaka bila kufunguliwa mashtaka na baadaye wengine wakaachiwa

Ugaidi na utekaji polisi wanstakiwa wapewe muda na nafasi ya kutosha vinginevyo wakiwa ropoka ropoka vyombo vya habari kufurahisha baraza waweza vuruga kila kitu .Usiri mkubwa hutakiwa hadi kieleweke kutowapa mwanya watekaji waliosalia mitaani wanaotafutwa kukamatwa ku escape Au kubadili mbinu nk

U polisi ni Proffession kama zingine uheshimiwe Wakiambiwa fuatilieni hili wanakuwa kazani hasa seriously

Kesi za utekaji na ugaidi sio fast food kuwa sasa hivi linatokea sasa hivi utoe majibu ya waliohusika
Kinachohofisha zaidi kila iitwayo leo matukio yanaongezeka na mamlaka bado ipo kimya
 
Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu kama kumaliza ugaidi

Waweza kamata mtu asaidie uchunguzi akataja wengine .Wakawa hao wengine wanatafutwa kwa udi na uvumba polisi hawawezi tu kila muda wakishika mtu kesho mahakamani na kutangaza vyombo vya habari kuwa tunaye wakati kuna mapapa wanatafutwa.

Hata Marekani nchi iliyoendelea walishikwa watu kibao kwa ugaidi wamekaa muda mrefu wengine miaka bila kufunguliwa mashtaka na baadaye wengine wakaachiwa

Ugaidi na utekaji polisi wanstakiwa wapewe muda na nafasi ya kutosha vinginevyo wakiwa ropoka ropoka vyombo vya habari kufurahisha baraza waweza vuruga kila kitu .Usiri mkubwa hutakiwa hadi kieleweke kutowapa mwanya watekaji waliosalia mitaani wanaotafutwa kukamatwa ku escape Au kubadili mbinu nk

U polisi ni Proffession kama zingine uheshimiwe Wakiambiwa fuatilieni hili wanakuwa kazani hasa seriously

Kesi za utekaji na ugaidi sio fast food kuwa sasa hivi linatokea sasa hivi utoe majibu ya waliohusika
Acha porojo wewe

Ova
 
Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu kama kumaliza ugaidi
Vipi na wale polisi wa Moshi walioua bwanamdogo mmoja kisa wazazi kushindwa kulipa milion sita walizozihitaji kama hongo, nao tuendelee kusubiri!?

Polisi acha ujinga....tutaendelea kupaza sauti zetu.
 
Vipi na wale polisi wa Moshi walioua bwanamdogo mmoja kisa wazazi kushindwa kulipa milion sita walizozihitaji kama hongo, nao tuendelee kusubiri!?
Mbona hiyo kesi ya siku nyingi sana na kuwa ilishapelekwa mahakamani siku nyingi

Sema watu wanaleta clip hata za zamani sana na kuweka humu
Clip zikirushwa angalieni za mwaka gani kaiangalie tena huko ulikoiona
 
Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu kama kumaliza ugaidi

Waweza kamata mtu asaidie uchunguzi akataja wengine .Wakawa hao wengine wanatafutwa kwa udi na uvumba polisi hawawezi tu kila muda wakishika mtu kesho mahakamani na kutangaza vyombo vya habari kuwa tunaye wakati kuna mapapa wanatafutwa.

Hata Marekani nchi iliyoendelea walishikwa watu kibao kwa ugaidi wamekaa muda mrefu wengine miaka bila kufunguliwa mashtaka na baadaye wengine wakaachiwa

Ugaidi na utekaji polisi wanstakiwa wapewe muda na nafasi ya kutosha vinginevyo wakiwa ropoka ropoka vyombo vya habari kufurahisha baraza waweza vuruga kila kitu .Usiri mkubwa hutakiwa hadi kieleweke kutowapa mwanya watekaji waliosalia mitaani wanaotafutwa kukamatwa ku escape Au kubadili mbinu nk

U polisi ni Proffession kama zingine uheshimiwe Wakiambiwa fuatilieni hili wanakuwa kazini hasa seriously

Kesi za utekaji na ugaidi sio fast food kuwa sasa hivi linatokea sasa hivi utoe majibu ya waliohusika

Kwa hiyo ivutwe subira kwani hata kwa tukio la Lissu uchunguzi bado unaendelea?

Kwamba majibu yakipatikana hata baada ya miaka 100 wataleta mrejesho?

Kama ndivyo na hawataki usaidizi si bora waache tu, kila mtu aamini kivyake?
 
Amethibitisha mdau kwamba Kuna ugaidi🥺🥺
Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu kama kumaliza ugaidi

Waweza kamata mtu asaidie uchunguzi akataja wengine .Wakawa hao wengine wanatafutwa kwa udi na uvumba polisi hawawezi tu kila muda wakishika mtu kesho mahakamani na kutangaza vyombo vya habari kuwa tunaye wakati kuna mapapa wanatafutwa.

Hata Marekani nchi iliyoendelea walishikwa watu kibao kwa ugaidi wamekaa muda mrefu wengine miaka bila kufunguliwa mashtaka na baadaye wengine wakaachiwa

Ugaidi na utekaji polisi wanstakiwa wapewe muda na nafasi ya kutosha vinginevyo wakiwa ropoka ropoka vyombo vya habari kufurahisha baraza waweza vuruga kila kitu .Usiri mkubwa hutakiwa hadi kieleweke kutowapa mwanya watekaji waliosalia mitaani wanaotafutwa kukamatwa ku escape Au kubadili mbinu nk

U polisi ni Proffession kama zingine uheshimiwe Wakiambiwa fuatilieni hili wanakuwa kazini hasa seriously

Kesi za utekaji na ugaidi sio fast food kuwa sasa hivi linatokea sasa hivi utoe majibu ya waliohusika
 
Jeshi la polisi kwenye hili la utekaji ni watuhumiwa namba 1 watuhumiwa namba 2 ni uvccm namba 3 ni vyama vya upinzani
Sasa hao polisi wanamchuguza nani wakati wanatakiwa wao ndio wachunguzwe.
 
Mbona hiyo kesi ya siku nyingi sana na kuwa ilishapelekwa mahakamani siku nyingi

Sema watu wanaleta clip hata za zamani sana na kuweka humu
Clip zikirushwa angalieni za mwaka gani kaiangalie tena huko ulikoiona
Zinasaidia kupeleka ujumbe fikirishi kwa lengo la kufundishana
 
Umetumwa? Atekwe MAMA YAKO uje na hili shairi uliloandika.......
Ila tuseme ukweli, kila utekaji una chanzo chake cha utekaji! Siyo kama watekaji wana select watu wa kuteka kama kifo kinavyo select wanadamu!!
 
Watu wangapi wametekwa? Wangapi wameuawa? Wangap hawajulikani walipo?. Bado unawashauri wananchi waendele kusubiri uchunguzi wa polisi?
Kesi za utekaji zina mengi mfano hata hapa nchini kesi zimetokea hadi kuandikwa magazeti mtu anaua mkewe akamchoma moto akaenda fukia porini huko halafu anaripoti polisi kuwa kapotelewa na mke au katekwa na wasiojulikana

Mwingine anaua anafukia ndani ya nyumba anaenda ripoti polisi kuwa kapotelewa au mtu wake katekwa na wasiojulikana

Baada ya uchunguzi mkali anakuja kudakwa mwenyewe kwamba hiyo haikuwa kazi ya wasiojulikana ni yake mwenyewe.

Si kila anayepiga yowe sana kuwa nimepotelewa au watu wetu wanatekwa aweza kuwa raia mwema mwenye uchungu na utekaji yaweza kuwa yeye mwenyewe ndiye mhusika

Kwa nini alifanya hivyo hujulikana baadaye

Polisi wapewe nafasi wachunguze
 
Wananchi waacheni polisi wafanye kazi yao mitandao ya utekaji huwa mikubwa kuwajua wote huchukua muda mrefu kama kumaliza ugaidi

Waweza kamata mtu asaidie uchunguzi akataja wengine .Wakawa hao wengine wanatafutwa kwa udi na uvumba polisi hawawezi tu kila muda wakishika mtu kesho mahakamani na kutangaza vyombo vya habari kuwa tunaye wakati kuna mapapa wanatafutwa.

Hata Marekani nchi iliyoendelea walishikwa watu kibao kwa ugaidi wamekaa muda mrefu wengine miaka bila kufunguliwa mashtaka na baadaye wengine wakaachiwa

Ugaidi na utekaji polisi wanstakiwa wapewe muda na nafasi ya kutosha vinginevyo wakiwa ropoka ropoka vyombo vya habari kufurahisha baraza waweza vuruga kila kitu .Usiri mkubwa hutakiwa hadi kieleweke kutowapa mwanya watekaji waliosalia mitaani wanaotafutwa kukamatwa ku escape Au kubadili mbinu nk

U polisi ni Proffession kama zingine uheshimiwe Wakiambiwa fuatilieni hili wanakuwa kazini hasa seriously

Kesi za utekaji na ugaidi sio fast food kuwa sasa hivi linatokea sasa hivi utoe majibu ya waliohusika
Mafwele akamatwe kwanza ili kidogo tuanze kuwa na imani na Polisi
 
Back
Top Bottom