Wananchi wajipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti!

Wananchi wajipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wananchi walijipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti ya nchi.

Kabla ya kuondoka Kwaya ya Hazina ilitoa burudani kisha Msafara wa Waziri wa Fedha kuelekea Bungeni ukaanza, Waziri akitumia gari ya Bei ya chini VW Passat inayotumia mafuta kidogo.

Msafara wa Waziri wa Fedha iliongozwa na Kikosi cha Farasi cha Polisi.



Source: Citizen TV
 
Kama aliweza kulipa watu kuandika jina lake kwenye majabali nchi nzima hashindwi kulipa watu wasimame barabarani kujifanya wana msupport.

Hao waliosimama ukiwauliza nini kimeenda kusomwa hata hawajui. Wamechukua buku 5 zao maisha yanaendelea.
 
Wananchi walijipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti ya nchi

Kabla ya kuondoka Kwaya ya Hazina ilitoa burudani kisha Msafara wa Waziri wa Fedha kuelekea Bungeni ukaanza Waziri akitumia gari ya Bei ya chini VW Passat inayotumia Mafuta kidogo

Msafara wa Waziri wa Fedha iliongozwa na Kikosi cha Farasi cha Polisi

Source: Citizen TV
Kwani tayari walikuwa wanakijua kinachoenda kusomwa?
 
Wananchi walijipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti ya nchi

Kabla ya kuondoka Kwaya ya Hazina ilitoa burudani kisha Msafara wa Waziri wa Fedha kuelekea Bungeni ukaanza Waziri akitumia gari ya Bei ya chini VW Passat inayotumia Mafuta kidogo

Msafara wa Waziri wa Fedha iliongozwa na Kikosi cha Farasi cha Polisi

Source: Citizen TV
Elimu Elimu Elimu...maweee!
 
Wananchi walijipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti ya nchi

Kabla ya kuondoka Kwaya ya Hazina ilitoa burudani kisha Msafara wa Waziri wa Fedha kuelekea Bungeni ukaanza Waziri akitumia gari ya Bei ya chini VW Passat inayotumia Mafuta kidogo

Msafara wa Waziri wa Fedha iliongozwa na Kikosi cha Farasi cha Polisi

Source: Citizen TV
Citizen TV?bajeti ya Tz?
 
Wananchi walijipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti ya nchi

Kabla ya kuondoka Kwaya ya Hazina ilitoa burudani kisha Msafara wa Waziri wa Fedha kuelekea Bungeni ukaanza Waziri akitumia gari ya Bei ya chini VW Passat inayotumia Mafuta kidogo

Msafara wa Waziri wa Fedha iliongozwa na Kikosi cha Farasi cha Polisi

Source: Citizen TV
Uhuni mtupu, urais hautafutwi hivyo kama afanyavyo panya
 
Wananchi walijipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti ya nchi

Kabla ya kuondoka Kwaya ya Hazina ilitoa burudani kisha Msafara wa Waziri wa Fedha kuelekea Bungeni ukaanza Waziri akitumia gari ya Bei ya chini VW Passat inayotumia Mafuta kidogo

Msafara wa Waziri wa Fedha iliongozwa na Kikosi cha Farasi cha Polisi

Source: Citizen TV
Aiseee?! Tumefikia hii hatua?! Kumbe mtoto usipomfinya mashavu mapema anakuwa chatu angali junior?! What a shame is it?! Rai's SSH
mambo kama Haya yanakuchafua mno. Kindly level out Ministers na watendaji wengine of this kinds.
 
Kama aliweza kulipa watu kuandika jina lake kwenye majabali nchi nzima hashindwi kulipa watu wasimame barabarani kujifanya wana msupport.

Hao waliosimama ukiwauliza nini kimeenda kusomwa hata hawajui. Wamechukua buku 5 zao maisha yanaendelea.
Boss wake asipomdhibiti anaweza kuleta madhara makubwa sana kwa uchumi wetu
 
Wananchi walijipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti ya nchi

Kabla ya kuondoka Kwaya ya Hazina ilitoa burudani kisha Msafara wa Waziri wa Fedha kuelekea Bungeni ukaanza Waziri akitumia gari ya Bei ya chini VW Passat inayotumia Mafuta kidogo

Msafara wa Waziri wa Fedha iliongozwa na Kikosi cha Farasi cha Polisi

Source: Citizen TV
Hao ni wananchi wa kata ya Senge
 
Mwigulu anafaa sana kwwnye mambo ambayo sio serious, mambo ya propaganda.
 
Back
Top Bottom