Wananchi walia na tozo, waziri Mwigulu asema mambo bado

Wananchi walia na tozo, waziri Mwigulu asema mambo bado

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Dar es Salaam.

Wakati wananchi wakiendelea na kilio cha tozo ya miamala ya simu ambayo ina takribani mwezi mmoja sasa, Serikali imesema bado inalifanyia kazi suala hilo na likikamilika majibu yatatolewa kwa umma.

Tozo hiyo ilipitishwa na Bunge katika bajeti mpya ya Serikali ya 2021/2022, lakini kutokana na kelele nyingi Rais Samia Suluhu Hassan aliahidi Serikali itaifanyia mapitio na kuiweka katika namna nzuri.

Julai 27, Rais Samia akizungumza kwa mara ya kwanza tangu kuanishwa kwa tozo hizo alisema Serikali inakwenda kuangalia suala hilo njia ya kulitekeleza.

Takribani wiki mbili zilizopita, Waziri wa Fedha Mipango, Dk Mwigulu Nchemba na mwenzake wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile waliwasilisha taarifa ya timu ya mapendekezo ya tozo za miamala ya simu kwa Waziri Mkuu, lakini mpaka sasa inasubiriwa kutolewa taarifa.

Jana, Mwananchi lilimtafuta Dk Mwigulu kujua kinachoendelea, naye alijibu kwa ujumbe wa WhatAspp akisema:

“Jambo hilo bado linafanyiwa kazi, kwenye ngazi ya wataalamu, liliwasilishwa kwenye Baraza dogo la kazi linaloongozwa na Waziri Mkuu Julai 30, kuna maelekezo yalitolewa lifanyiwe kazi zaidi, hivyo lilirudishwa kwa wataalamu.

“Litapelekwa tena kwenye kikao cha kazi baada ya kukamilishwa mtataarifiwa likiwa tayari,” alisema Dk Mwigulu.

Source: Mwananchi
 
Dar es Salaam.

Wakati wananchi wakiendelea na kilio cha tozo ya miamala ya simu ambayo ina takribani mwezi mmoja sasa, Serikali imesema bado inalifanyia kazi suala hilo na likikamilika majibu yatatolewa kwa umma.

Tozo hiyo ilipitishwa na Bunge katika bajeti mpya ya Serikali ya 2021/2022, lakini kutokana na kelele nyingi Rais Samia Suluhu Hassan aliahidi Serikali itaifanyia mapitio na kuiweka katika namna nzuri.

Julai 27, Rais Samia akizungumza kwa mara ya kwanza tangu kuanishwa kwa tozo hizo alisema Serikali inakwenda kuangalia suala hilo njia ya kulitekeleza.

Takribani wiki mbili zilizopita, Waziri wa Fedha Mipango, Dk Mwigulu Nchemba na mwenzake wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile waliwasilisha taarifa ya timu ya mapendekezo ya tozo za miamala ya simu kwa Waziri Mkuu, lakini mpaka sasa inasubiriwa kutolewa taarifa.

Jana, Mwananchi lilimtafuta Dk Mwigulu kujua kinachoendelea, naye alijibu kwa ujumbe wa WhatAspp akisema:

“Jambo hilo bado linafanyiwa kazi, kwenye ngazi ya wataalamu, liliwasilishwa kwenye Baraza dogo la kazi linaloongozwa na Waziri Mkuu Julai 30, kuna maelekezo yalitolewa lifanyiwe kazi zaidi, hivyo lilirudishwa kwa wataalamu.

“Litapelekwa tena kwenye kikao cha kazi baada ya kukamilishwa mtataarifiwa likiwa tayari,” alisema Dk Mwigulu.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Waziri anajibu wananchi kwa whatsapp!? Hamna press release sikuhizi
 
Dar es Salaam.

Wakati wananchi wakiendelea na kilio cha tozo ya miamala ya simu ambayo ina takribani mwezi mmoja sasa, Serikali imesema bado inalifanyia kazi suala hilo na likikamilika majibu yatatolewa kwa umma.

Tozo hiyo ilipitishwa na Bunge katika bajeti mpya ya Serikali ya 2021/2022, lakini kutokana na kelele nyingi Rais Samia Suluhu Hassan aliahidi Serikali itaifanyia mapitio na kuiweka katika namna nzuri.

Julai 27, Rais Samia akizungumza kwa mara ya kwanza tangu kuanishwa kwa tozo hizo alisema Serikali inakwenda kuangalia suala hilo njia ya kulitekeleza.

Takribani wiki mbili zilizopita, Waziri wa Fedha Mipango, Dk Mwigulu Nchemba na mwenzake wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile waliwasilisha taarifa ya timu ya mapendekezo ya tozo za miamala ya simu kwa Waziri Mkuu, lakini mpaka sasa inasubiriwa kutolewa taarifa.

Jana, Mwananchi lilimtafuta Dk Mwigulu kujua kinachoendelea, naye alijibu kwa ujumbe wa WhatAspp akisema:

“Jambo hilo bado linafanyiwa kazi, kwenye ngazi ya wataalamu, liliwasilishwa kwenye Baraza dogo la kazi linaloongozwa na Waziri Mkuu Julai 30, kuna maelekezo yalitolewa lifanyiwe kazi zaidi, hivyo lilirudishwa kwa wataalamu.

“Litapelekwa tena kwenye kikao cha kazi baada ya kukamilishwa mtataarifiwa likiwa tayari,” alisema Dk Mwigulu.

Source: Mwananchi

Kwani Mh. Rais si alisema wananchi waliridhia na walipenda hata ziwe juu zaidi?
 
Dar es Salaam.

Wakati wananchi wakiendelea na kilio cha tozo ya miamala ya simu ambayo ina takribani mwezi mmoja sasa, Serikali imesema bado inalifanyia kazi suala hilo na likikamilika majibu yatatolewa kwa umma.

Tozo hiyo ilipitishwa na Bunge katika bajeti mpya ya Serikali ya 2021/2022, lakini kutokana na kelele nyingi Rais Samia Suluhu Hassan aliahidi Serikali itaifanyia mapitio na kuiweka katika namna nzuri.

Julai 27, Rais Samia akizungumza kwa mara ya kwanza tangu kuanishwa kwa tozo hizo alisema Serikali inakwenda kuangalia suala hilo njia ya kulitekeleza.

Takribani wiki mbili zilizopita, Waziri wa Fedha Mipango, Dk Mwigulu Nchemba na mwenzake wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile waliwasilisha taarifa ya timu ya mapendekezo ya tozo za miamala ya simu kwa Waziri Mkuu, lakini mpaka sasa inasubiriwa kutolewa taarifa.

Jana, Mwananchi lilimtafuta Dk Mwigulu kujua kinachoendelea, naye alijibu kwa ujumbe wa WhatAspp akisema:

“Jambo hilo bado linafanyiwa kazi, kwenye ngazi ya wataalamu, liliwasilishwa kwenye Baraza dogo la kazi linaloongozwa na Waziri Mkuu Julai 30, kuna maelekezo yalitolewa lifanyiwe kazi zaidi, hivyo lilirudishwa kwa wataalamu.

“Litapelekwa tena kwenye kikao cha kazi baada ya kukamilishwa mtataarifiwa likiwa tayari,” alisema Dk Mwigulu.

Source: Mwananchi
Wanavuta mda ili waTz wazoee maumivu na waishi nayo. Wanajua hakuna mTz anayeweza kumkabiri Afande Sirro.
 
Taifa likiruhusu kukawa na 'gigants 'kadhaa matokeo yake ni haya. Msimamo wa gigant mmoja unapingwa waziwazi na gigant mwingine na hakuna anaeshituka.
Hili la tozo ni moja kati ya makosa ya wazi kabisa.
 
Kwa mujibu wa Waziri Ndugulile watumiaji wa miamala ya fedha ni milioni 32...

Mfano tu kwa siku 1 wakiwa watumiaji milioni 20.

Kisha tozo wastani ni 1,000

Serikali inakuwa imeweka kibindoni 20,000,000,000 ( bilioni 20)

Sasa toka tozo zimeanza ni kama siku 30.

Hivyo mapato ya serikali ni bilioni 600.

Kumbukua huu ni wastani wa chini kabisa.

Tuiombe tu serikali ifute hizi tozo,lengo lao sasa limefanikiwa. Watuache tubangaize maisha yetu.
 
Kagame kafuta tozo zote kwenye miamala, mama kapigwa chenga ya mwili
 
Back
Top Bottom