Kassim Majaliwa
Nimepokea hundi ya sh. 10, 000,000/= kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bibi Ineke Bussemaker ukiwa ni mchango wa Benki hiyo kwa timu ya mpira wa miguu ya Namungo ya wilayani Rungwa.
Walijenga UNHCR ile Airport kwa ajili ya kusaidia wananchi maeneo ambayo wakimbizi wamekaa kwa muda mrefu....ni matunda ya kuwahifadhi wakimbizi katika makazi ya Mishamo na Katumba