Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Wewe hapa unatafuta nini, nawe toka hapa katafute pesaInafikirisha sana. Ila wakimaliza kubomoa wakatafute pesa.
I Retired 🙄wewe hapa unatafuta nini, nawe toka hapa katafute pesa
Bt wanaobomoa ni Wana CCM, angalia vzr, tena chini ya ulinzi wa POLISI.Namuonea huruma huyo kaka watakavyomgeuka wenzie
Kumbee basi sijaangalia vzr asante mkuuBt wanaobomoa ni Wana CCM, angalia vzr, tena chini ya ulinzi wa POLISI.
SijapendezwaMajangaa kweli inafika wakati Wananchi wanachoka na kuamuwa kujichukulia sheria mikononi mwao hatari kweli.
Mungu atusaidie tuondokane na umasikini, njaa na maradhi amin.
View attachment 2384417
Maumivu yanaanza kidogo kidogo mwisho unashawishika kumwona dakitari.Sijapendezwa
KarmaMaumivu yanaanza kidogo kidogo mwisho unashawishika kumwona dakitari.
kvp mkuu usem wanawachokoz policeWanawachokaza polisi...
Umbwa!Sijapendezwa
Nasikia Awamu iliyopita ndio walilivamia watu wakawa wanaogopa kuuwawa.Eneo hilo ni la kina mama Long time lilikuwa lao,ccm walijimilikisha
Hadi kituo cha polisi ni eneo lao
Ova