Wananchi wapewe Elimu Kuhusu Katiba Inayopendekezwa- SUA

Wananchi wapewe Elimu Kuhusu Katiba Inayopendekezwa- SUA

bmbalamwezi

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2015
Posts
788
Reaction score
195
Wasomi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) wamesisitiza umuhimu wa kutolewa kwa elimu ihusuyo Katiba Inayopendekezwa kabla ya kupiga Kura ya Maoni. Wasomi hao wamesisitiza kuwa kwa kufanya hivyo wapiga kura watapiga kura wakiwa wanaelewa wanachokifanya. Hima wana JF toeni elimu kuhusu Katiba Inayopendekezwa ili Watanzania washiriki kwenye Kura ya Maoni wakiwa wanaelewa wanachokifanya ikizingatiwa kuwa Katiba ni ya wananchi na si Chenge kama wengine walivyokuwa wakipotosha kwenye jukwaa hili. Kazi kwenu.
 
Jukumu la kuwaelimisha wananchi ni letu sote,ila tuepuke watu wachache wanafanya upotoshaji kwa makusudi,watanznia hatutaki kupotoshwa tena na nyie wanasiasa uchwara,tuacheni tusome katiba inayopendekezwa na mwisho tupige kura ya ndio,katiba si yakwetu na tumeiandika wenyewe,nawaunga mkono wasomi wa sua kwa muamko huo,tuko pamoja
 
Wasomi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) wamesisitiza umuhimu wa kutolewa kwa elimu ihusuyo Katiba Inayopendekezwa kabla ya kupiga Kura ya Maoni. Wasomi hao wamesisitiza kuwa kwa kufanya hivyo wapiga kura watapiga kura wakiwa wanaelewa wanachokifanya. Hima wana JF toeni elimu kuhusu Katiba Inayopendekezwa ili Watanzania washiriki kwenye Kura ya Maoni wakiwa wanaelewa wanachokifanya ikizingatiwa kuwa Katiba ni ya wananchi na si Chenge kama wengine walivyokuwa wakipotosha kwenye jukwaa hili. Kazi kwenu.

Siku zote mwerevu husimama na kujielimisha kwa kile ambacho kinaonekana kina faida na maisha yako kama mtanzania...kukaa pembeni na kusubiri kupotoshwa na wale wasioitakia mema nchi.....inashangaza kuona watu wanasimama majukwaani na kusambaza ninazoweza kuziita chuki dhidi ya katiba inayopendekezwa...kwa madai haikujali maisha ya matamzania huu ni uongo tena ni dhambi kubwa sana hata mbele za mungu...kwanini msiwe wawazi tu na kueleza Katiba inayopendekezwa haikujali matakwa yenu ninyi Kama UKAWA mnaoniita wapinzani mliopanga kugawana nchi endapo kindoto chenu kitatimia(which z not possible)...nawapongeza wasomi wa SUA kwa hautua mliyochukua na RAI yangu kwenu ni kutumia elimu yenu kuwaelimisha wananchi juu ya ubora wa katiba inayopendekezwa ili kuepuka upotoshwaji unaofanywa na Mazandiki wenye Chuki na maendeleo ya Wananchi na Taifa kwa ujumla......
 
Siku zote mwerevu husimama na kujielimisha kwa kile ambacho kinaonekana kina faida na maisha yako kama mtanzania...kukaa pembeni na kusubiri kupotoshwa na wale wasioitakia mema nchi.....inashangaza kuona watu wanasimama majukwaani na kusambaza ninazoweza kuziita chuki dhidi ya katiba inayopendekezwa...kwa madai haikujali maisha ya matamzania huu ni uongo tena ni dhambi kubwa sana hata mbele za mungu...kwanini msiwe wawazi tu na kueleza Katiba inayopendekezwa haikujali matakwa yenu ninyi Kama UKAWA mnaoniita wapinzani mliopanga kugawana nchi endapo kindoto chenu kitatimia(which z not possible)...nawapongeza wasomi wa SUA kwa hautua mliyochukua na RAI yangu kwenu ni kutumia elimu yenu kuwaelimisha wananchi juu ya ubora wa katiba inayopendekezwa ili kuepuka upotoshwaji unaofanywa na Mazandiki wenye Chuki na maendeleo ya Wananchi na Taifa kwa ujumla......
Naamini kwamba hao wanafunzi wamejitambua na wameepukana na kuwa bendera fata upepo kwa kuchukua hatua ya kutaka kuisoma na kuielewa, ushauri wangu kwao wasikubali kutumikishwa kiakili, wao ni wasomi na wana akili zao timamu, wazidi kuisoama na kuielewa ili siku ya kura itakapokuja basi wawe mstari wa mbele kuipigia kura nyingi za NDIYOOOOO
 
Jitokeze kujiandikisha ,shiriki kupiga kura ya maoni ili tuweze kupata katiba mpya,wakati wako ni sasa,jenga nchi yako
 
Jitokeze kujiandikisha ,shiriki kupiga kura ya maoni ili tuweze kupata katiba mpya,wakati wako ni sasa,jenga nchi yako

Tanzania nchi yangu naipenda kwa moyo wote. Watanzania kwa umoja wetu tuhimizane wote kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ili muda ukifika wote tukatumie haki yetu ya kikatiba ya kupiga kura ili Tanzania iweze kupata Katiba Mpya.
 
Tanzania nchi yangu naipenda kwa moyo wote. Watanzania kwa umoja wetu tuhimizane wote kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ili muda ukifika wote tukatumie haki yetu ya kikatiba ya kupiga kura ili Tanzania iweze kupata Katiba Mpya.

KATIKA HILI NINAWAUNGA MKONO WAZALENDO HAWA KWA KUIWEKA KATIBA YA CHENGE KWA SAUTI.

KATIBA INAYOPENDEKEZWA
Katiba Inayopendekezwa
KATIBA INAYOPENDEKEZWA
Focus Radio TZ
KATIBAINAYOPENDEKEZWA - Music - HulkShare
https://twitter.com/sikilizaKATIBA
Android App Market for: Katiba Inayopendekezwa
https://www.facebook.com/Katibapendekezi
https://www.facebook.com/KatibaInayopendekezwaTanzania
https://www.facebook.com/groups/tanzanianiyako/
 
Back
Top Bottom