Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,720
- 5,659
Tumeshuhudia vyama vya siasa vikiwa na mamlaka ya kutengua ubunge wa mbunge wa chama chao muda wowote na wakati wowote wanapojisikia.
Hii ni kutokana na baadhi ya vyama kutumia ubabe,chuki,fitina,majungu,tuhuma zisizothibitishwa,wenye kupinga ufisadi ndani na nje ya chama na watu wenye mitizamo tofauti na viongozi wakuu wa chama kufukuzwa muda wowote bila kujali dhamana ya wananchi ambao ndio wapiga kura.
Umefika wakati sasa wananchi waachiwe mamlaka na madaraka ya kutengua ubunge wa mbunge wao.
Hii ni kutokana na baadhi ya vyama kutumia ubabe,chuki,fitina,majungu,tuhuma zisizothibitishwa,wenye kupinga ufisadi ndani na nje ya chama na watu wenye mitizamo tofauti na viongozi wakuu wa chama kufukuzwa muda wowote bila kujali dhamana ya wananchi ambao ndio wapiga kura.
Umefika wakati sasa wananchi waachiwe mamlaka na madaraka ya kutengua ubunge wa mbunge wao.