johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Si mlisema Cdm ilishakufa...mbona mnahaha yohanaScotland Yard hufanya ukaguzi Katika nyanja na Fani mbalimbali za kotaasisi na kijamii
Inaonekana Chadema Kuna Tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria ndio sababu Wananchi wameomba Waziri mkuu awalete Scotland Yard Kwa Special audit
Kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini π
Scotland Yard hufanya ukaguzi Katika nyanja na Fani mbalimbali za kotaasisi na kijamii
Inaonekana Chadema Kuna Tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria ndio sababu Wananchi wameomba Waziri mkuu awalete Scotland Yard Kwa Special audit
Kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini π
Ok..wakimaliza,waongezewe kazi ya kuwabaini waliompiga risasi TAL na wawekwe wazi.Scotland Yard hufanya ukaguzi Katika nyanja na Fani mbalimbali za kotaasisi na kijamii
Inaonekana Chadema Kuna Tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria ndio sababu Wananchi wameomba Waziri mkuu awalete Scotland Yard Kwa Special audit
Kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini π
Kwahiyo mambo ya CCTV kwenye hiyo nyumba anayajua? πΌ
Nyumba aliposhambuliwa Tundu Lisu ni Makazi ya Mwamba? πΌSi mlisema Cdm ilishakufa...mbona mnahaha yohana
Jirani na AyatolahNyumba aliposhambuliwa Tundu Lisu ni Makazi ya Mwamba? πΌ
Nyumbani Kwa Mwamba akasingiziwa Kalemani ππππSio tu grab a na ile Ishu ya Pajamaπππ
Msajili wa Vyama vya SiasaNani atagharamia gharama za kuwaleta?
Kwani Chadema Siyo Chama Cha kawaida?Scotland yard unaijua kweli? Hawa ni police wa kawaida tu wa UK, hua nashangaa Sana jinsi mnavyowakuza
Mkuu usihangaike na huyo dishi limeyumba.Hajui analoandika anajiandikia tu.Scotland yard unaijua kweli? Hawa ni police wa kawaida tu wa UK, hua nashangaa Sana jinsi mnavyowakuza
Inafikilisha Kwa nini alimpa Lissu ,sio Lema,sio Msigwa sio Heche na Kwa nini hakutaka kukaa yeye ?Kwahiyo mambo ya CCTV kwenye hiyo nyumba anayajua? πΌ