Bushmamy JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 9,140 Reaction score 15,963 Aug 7, 2024 #1 Kilmanjaro;Baada ya mateso ya Muda mrefu na Bila kusikilizwa kwa kero zao za barabara wananchi wa kata ya Machame Narumu katika Wilaya ya Hai wameamua Kuweka nguvu zao katika ukarabati wa barabara zao za kijiji baada ya uchakavu wa miaka nenda rudi.
Kilmanjaro;Baada ya mateso ya Muda mrefu na Bila kusikilizwa kwa kero zao za barabara wananchi wa kata ya Machame Narumu katika Wilaya ya Hai wameamua Kuweka nguvu zao katika ukarabati wa barabara zao za kijiji baada ya uchakavu wa miaka nenda rudi.
Bushmamy JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 9,140 Reaction score 15,963 Aug 7, 2024 Thread starter #2 Your browser is not able to display this video.
Arch Barrel JF-Expert Member Joined Feb 1, 2024 Posts 434 Reaction score 1,126 Aug 7, 2024 #3 Bushmamy said: View attachment 3063754 Click to expand... Hili nalo mkalitazame
Bushmamy JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 9,140 Reaction score 15,963 Aug 7, 2024 Thread starter #4 Your browser is not able to display this video. Your browser is not able to display this video.
peno hasegawa JF-Expert Member Joined Feb 24, 2016 Posts 14,255 Reaction score 23,949 Aug 7, 2024 #5 Tupatieni Jina la Mbunge wa eneo Hilo.
Bushmamy JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 9,140 Reaction score 15,963 Aug 15, 2024 Thread starter #6 Hii ni baada ya mateso ya Muda mrefu wanakijiji wakaamua kujichanga na kukarabati barabara katika vijiji vyao
Hii ni baada ya mateso ya Muda mrefu wanakijiji wakaamua kujichanga na kukarabati barabara katika vijiji vyao
luambo makiadi JF-Expert Member Joined Nov 28, 2017 Posts 10,602 Reaction score 8,798 Oct 5, 2024 #7 Kilimanjaro wananchi wanajitambua sana kuchangia shughuli za kimaendeleo ni jambo la kawaida