Mr_X
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,170
- 2,335
Wananchi wenzangu poleni kwa kupoteza game ya leo na tutambue kuwa mpira una matokeo matatu na ligi Ni game 34 so ni vigum Sana kutofungwa game zote labda itokee bahati tu. Leo tulikuwa na poor performance lakini Bado tulitengeneza nafasi za wazi kufunga na tukakosa magoli ya wazi rejea Farid, Kisinda & Yacouba. Haya yashaisha tujipange na game ijayo ligi Bado mbichi
Jambo nalotaka kuzungumza na nyinyi ndugu zangu ni kuhusu mwenendo wa team yet, game 5 zilizopita droo3 lose1 win1, Kati ya hizo game hamn game ambayo hatujapata matokeo tunayostahili. Kitu kilichonishtua Mimi Ni kwamba Ni kama tunaenda hatua 2 mbele alafu 5 nyuma. Nafahamu mwakani tunaenda kushiriki mashindano ya kimataifa ila kwa performance hii inanishtua na kunitia wasiwasi. Kwanini Mr Kaze anastruggle sana na team zinazo possess football rejea teams kama Kagera Sugar & Costal Union, Yani team ikiamua kuutaka mpira na kuucheza Basi Yanga tunazidiwa, je tunafail wapi? Je, Mr Kaze kocha aliepitia FC Barcelona anashindwa nini kumiliki mpira na anazidiwa na kupossess na team za kawaida Kama hizo. hili Ni tatzo maana Mashindano ya kimataifa hamna team inayobutua, je tutaweza ku.compete?
Kwa uwezo wangu mdogo wa kuuchambua mpira na kuuelewa nimejaribu kuyaona haya machache YangaSC tunaingia na mindset ya kukaba sana, YangaSC tunaingia na viungo wawili ambao wote kiasili sio attacking midos. Je Mr Kaze anajarbu kutuaminisha kwa dunia ya Sasa team inaweza cheza na viungo wawili wakabaji bila kuwa na AM na akashinda?, Turudi kwa wenzetu walioendelea kwenye soka Barca, Madrid, Bayern, RB Leipzig, Dortmund, Juve, Milan, Ajax, Porto, United, City, Liverpool, Chelsea, Arsenal, Spurs, PSG, Lille Metropo, Benfica Hawa wote wanacheza na viungo watatu kama sio 433 Basi Ni 4231 na lengo ni kuumiliki mpira na kufanya pressing ya Hali ya juu sisi tunafail wapi? Au ndo ule msemo hatuna AM? Mwisho simbezi Mr Kaze anaweza kuwa anajua zaid anachokifanya na 442 yake maana hata Sir Alex pale OT alitumia sana 442 na akabeba ndoo 11 za EPL lakn ajiangalie bongo hamna ile kitu kujenga team au kupewa muda
Note: Waliokarbu na Kaze wamshaur kitu kingine muhmu. Naamini Kaze anauwezo mkubwa sana, ila saiv kidgo kidgo anaanza kuingia kwenye mitego ya waandishi habar makanjanja, amekuwa mwepesi wa kupanic anataka kushindana nao. Kibaya zaidi wengi wanatumiwa. Aachane nao na ikiwezekana asiwe anawasikiliza na kusikiliza vipindi vyao
Jambo nalotaka kuzungumza na nyinyi ndugu zangu ni kuhusu mwenendo wa team yet, game 5 zilizopita droo3 lose1 win1, Kati ya hizo game hamn game ambayo hatujapata matokeo tunayostahili. Kitu kilichonishtua Mimi Ni kwamba Ni kama tunaenda hatua 2 mbele alafu 5 nyuma. Nafahamu mwakani tunaenda kushiriki mashindano ya kimataifa ila kwa performance hii inanishtua na kunitia wasiwasi. Kwanini Mr Kaze anastruggle sana na team zinazo possess football rejea teams kama Kagera Sugar & Costal Union, Yani team ikiamua kuutaka mpira na kuucheza Basi Yanga tunazidiwa, je tunafail wapi? Je, Mr Kaze kocha aliepitia FC Barcelona anashindwa nini kumiliki mpira na anazidiwa na kupossess na team za kawaida Kama hizo. hili Ni tatzo maana Mashindano ya kimataifa hamna team inayobutua, je tutaweza ku.compete?
Kwa uwezo wangu mdogo wa kuuchambua mpira na kuuelewa nimejaribu kuyaona haya machache YangaSC tunaingia na mindset ya kukaba sana, YangaSC tunaingia na viungo wawili ambao wote kiasili sio attacking midos. Je Mr Kaze anajarbu kutuaminisha kwa dunia ya Sasa team inaweza cheza na viungo wawili wakabaji bila kuwa na AM na akashinda?, Turudi kwa wenzetu walioendelea kwenye soka Barca, Madrid, Bayern, RB Leipzig, Dortmund, Juve, Milan, Ajax, Porto, United, City, Liverpool, Chelsea, Arsenal, Spurs, PSG, Lille Metropo, Benfica Hawa wote wanacheza na viungo watatu kama sio 433 Basi Ni 4231 na lengo ni kuumiliki mpira na kufanya pressing ya Hali ya juu sisi tunafail wapi? Au ndo ule msemo hatuna AM? Mwisho simbezi Mr Kaze anaweza kuwa anajua zaid anachokifanya na 442 yake maana hata Sir Alex pale OT alitumia sana 442 na akabeba ndoo 11 za EPL lakn ajiangalie bongo hamna ile kitu kujenga team au kupewa muda
Note: Waliokarbu na Kaze wamshaur kitu kingine muhmu. Naamini Kaze anauwezo mkubwa sana, ila saiv kidgo kidgo anaanza kuingia kwenye mitego ya waandishi habar makanjanja, amekuwa mwepesi wa kupanic anataka kushindana nao. Kibaya zaidi wengi wanatumiwa. Aachane nao na ikiwezekana asiwe anawasikiliza na kusikiliza vipindi vyao