Wanandoa jihadharini na kosa hili katika mahusiano.

My daughter hiyo avatar,ni busu au msunyo???sijakuelewa kabisa.............lol

We nae huna dogo acha kusoma between lines na kuangalia kila kitu aaahhhh mambo mengine si ya kuchana live!!! Unauchuna kiutu uzima
 

Anold mambo ya kugonga pentagon nayo sometimes si poa sana mpaka naona aibu kuingalia screen ya laptop aahhikkk ha ha haha haya bwana kila la heri UMEONGEA UKWELI MTUPU
 
Ubarikiwe mkuu, umesema ukweli kabisaaaaaa
 

Great Thinker,,thanks tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…