Wanandoa kama mna mapepo nendeni mkaombewe msitese ndugu

Wanandoa kama mna mapepo nendeni mkaombewe msitese ndugu

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Ndugu wapendwa,

Naomba ombi hili kwa ajiliya wanandoa Kama una mwenza unamwona ana mapepo yanamtesa

Wapo wanateseka na majini mahaba.

Wapo wanandoa wanateseka na roho za wizi. Ndani kwa NDAN

Wapo wanateseka na rohiza uzinzuli kutokana. Na kutubuu imefika Mmoja kaamua twende hivyohvyo vitayako SI kubwa vileeeee

Mpeleke MWENZIO maombini ukishindwa chukua hata nguo ukiona usiku unasumbuliwa Sana na mahawara peleka nguoyakeyandani maombini atabadilika

NDOA Nyingi zimepasuka sio awapendani mapepo waliotupiwa so asipotokea Mmoja kusimama na Mungu unaenda mazima utaoa utaachatu

Msioneane aibu Amna HAJA ya kutuita vikao unajua kabisa mke.ukmgusa anakusukuma

Mke UKIOMBA mchezo mumee #UMEME UMEKATA KALEWA. BWI hata upige tarumbeta mpk asubuhi wapi Hilo ni pepo ukaombewe UMEME uongezeke.

#Wapoo wamama.mnateseka na ndoa mume ana UMEME pitiliza yaan ukiamka yumo badayachqi yumo.mchana yumo jioni yumo usiku yumoo Kama unajua umeme. Umepitiliza kawaida peleka nguoyakeyandani mwombe Mungu abalance umeme uwe. Normal...vikao avitoongeza #UMEME WA MUMEO WALA KUURUDISHA NORMAL BALI.MAOMBI

Ndugu wazazi awakusaidii amka Sasasimama zamuu yakoo.na Mungu.kwa AJILI ya familia yakoo

Anatafuta Mmoja aokoe ndoa zote Tanzania.

Jumanne njema
 
Watakuja wanasiasa hata humu nakuambia hutaamini. BTW amen to your prayers.
 
Akiwa na Umeme pitiliza we mruhusu tu atafute wawili zaidi msaidiane hutajuta,mi wife kaniruhusu kabisa ninatoa mgao na kwa wengine wanaohitaji Umeme,sa hizi anapata Umeme anaohitaji Wa single phase.
 
Hili la ndoa suruhisho pekee katiba mpya ya JMTZ ndiyo itamaliza yote hayo
 
Iweje kusingizia pepo? Jeuri haipasi kuwepo kwenye ndoa. Sululisho ni kuwa na upendo kushinda wa mwanzo amani, furaha, huruma. Hapo ndoa haita haribika.
 
Back
Top Bottom