Marie Curie
Member
- Aug 7, 2011
- 23
- 3
Wapendwa wana jamii,hapa nilipo ni katika dilema,nina mme na watoto.Namshukuru sana Mungu kwa baraka zote alizonijaza,nilikuja kusoma ulaya nimemaliza nikapata kazi na resident permit yenye work permit.Sasa ngoma mme wangu amekataa kunijoin hata mimi namsupport since sitaki afanye kazi ambazo kwangu mimi hazifai.Sasa nifanyeje mwenzenu mie
Noted with thanksAmua moja kumfuata mmeo huko aliko mwendeleze familia zenu.
Wapendwa wana jamii,hapa nilipo ni katika dilema,nina mme na watoto.Namshukuru sana Mungu kwa baraka zote alizonijaza,nilikuja kusoma ulaya nimemaliza nikapata kazi na resident permit yenye work permit.Sasa ngoma mme wangu amekataa kunijoin hata mimi namsupport since sitaki afanye kazi ambazo kwangu mimi hazifai.Sasa nifanyeje mwenzenu mie
Noted with thanks
Yaani kwa kweli sijui nifanye nini,kasema mke ndo anatakiwa amjoin mme,I have my permit ya kuishi na family,a house.BUT I HAVE TO LEAVE AND GO BACK TO TANZANIA TO STAY WITH MY HUSBAND,Maisha haya jamani
Sio hivyo,yeye hataki kuja maana Tz ana kazi yake ya maana,sasa nami namuunga mkono maana ni kweli akija huku aanze upya kutafuta kazi.Why do I got'ta feeling kuwa unataka kumpelekesha huyo mumeo? Kwa nini unataka afanye kazi unayotaka wewe tuu bila kujali yeye anataka nini? Labda ndio sababu anaogopa kuja kukujoin huko 'ughaibuni', kwani akija lazima afanye kazi...na we ndio utamchagulia kazi gani afanye?!
kweli ni changamoto,unajua keki,yaani huku keki na kule keki now I have to choose,I think nirudi home nikaishi na mme wangu,na kujenga taifa piadada hiyo nayo ni changamoto ya maisha Mshirikishe Mungu pia atakufungulia njia na atakumfua na yeye ili mfike uamuzi uliothabiti kwa hata Mungu hapendi alichounganisha yeye kitenganishwe
Sure,I have to pack and go home.Pole sana, Ongea nae kwanza km haiwezekani kabisa nenda kwa mumeo la sivyo atakutafutia msaidizi (mwanamke mwingine).
Wapendwa wana jamii,hapa nilipo ni katika dilema,nina mme na watoto.Namshukuru sana Mungu kwa baraka zote alizonijaza,nilikuja kusoma ulaya nimemaliza nikapata kazi na resident permit yenye work permit.Sasa ngoma mme wangu amekataa kunijoin hata mimi namsupport since sitaki afanye kazi ambazo kwangu mimi hazifai.Sasa nifanyeje mwenzenu mie