Wewe jamaa una vituko.Badala uulize jinsi wanavyoendelea vema kwenye hizo couples,unauliza walivyoachana?Kaangalie kipindi cha "1000 ways to die" badala ya "you're what you eat"!Ni mambo ya kawaida yapo na yanaongezeka kila siku
nisiwachoshe sanaaa si mbaya kupata exp kwa wale mlioachana kwenye ndoa na jinsi ulivyoteseka ama kufarijika baada ya muwachanooo
na je
procedure gani mlifwata mkaachaana kihalaliii ilii mkikutanaaa uswazi hakuna kusumbuana
naamanisha proxy za talakaa kwa dini. Zotee wekeni hapa vijana wanaodumbukia wajue kuna moto ama baridi hakuna uvuguvugu ndoani
mwishoooo nawatakia faraja njema wote mlioachanaaaaa
Allah akawe mfariji wenuuu
Walioahana watafarijiwa na nani mkuu kama tukitaka kuuliza haooWewe jamaa una vituko.Badala uulize jinsi wanavyoendelea vema kwenye hizo couples,unauliza walivyoachana?Kaangalie kipindi cha "1000 ways to die" badala ya "you're what you eat"!
Inategemea jinsi mikono yako inavyoonekana wakati unatembea.Sasa mikono imejikunja kama umekumbatia pakacha kwa nini wasikuite mpiga nyeto mwandamizi?Kila nikishauli watu katika ndoa wananiambia wewe hujui kitu nyeto man sasa nawaza kwani nyeto ni mke wangu
Walioachana huwa wana makasiriko na viapo vingi sana.Ukikutana nao wanunulie maji baridi wanywe kushusha jazba.Walioahana watafarijiwa na nani mkuu kama tukitaka kuuliza haoo
Mi wangu nilipoachana nae nkaenda kumtolea sadaka kanisani kmr korogwe 50000 Mungu anisaidie nisimwone wala kumsikia wala kupishana nae nduguu mpaka kesho mwaka wa 2024 toa 2005Walioachana huwa wana makasiriko na viapo vingi sana.Ukikutana nao wanunulie maji baridi wanywe kushusha jazba.
Hivi,Pdidy unavyoandika ndiyo huwa unaongea hivyohivyo?Mi wangu nilipoachana nae nkaenda kumtolea sadaka kanisani kmr korogwe 50000 Mungu anisaidie nisimwone wala kumsikia wala kupishana nae nduguu mpaka kesho mwaka wa 2024 toa 2005
Maana nilijidumbukiza penzi la.mlokole mmoja baada ya muachanooo akanipea wanangu wazuri sikutaka tena drama
Tulianza kama kaka na dada Tukamaliza Mke na mume😄Ni mambo ya kawaida yapo na yanaongezeka kila siku.
Nisiwachoshe sana si mbaya kupata uzoefu kwa wale mlioachana kwenye ndoa na jinsi ulivyoteseka ama kufarijika baada ya kuachana.
Je, procedure gani mlifuata mkaachaa kihalaliii ili mkikutana uswazi hakuna kusumbuana
Naamanisha procedure za talaka kwa dini zote, wekeni hapa vijana wanaodumbukia wajue kuna moto ama baridi hakuna uvuguvugu ndoani.
Mwishoooo nawatakia faraja njema wote mlioachana.
Allah akawe mfariji wenu.