aisee PetCash hizi moments zipo ila ukitaka kuona upendo unarudi tena fanya haya
1) give her a space, waweza kuchukua likizo ukasafiri hata kwenda kijijini kwa wazazi ama yeye akachukua likizo ama pia ukatafuta safari ya kikazi just to give her a space. hii itakufanya ummiss na mara nyingi sana ingependeza kama mke akisafiri wewe ubaki home alone pakuboe ndipo utakapo feel why she should be there.
2) pendelea kumpa mwenzi wako nafasi ya kutoka na marafiki ambao si wewe ili muda ule anapotoka wewe umkose kidogo tena akuachie vijikazi kama mtoto hivi anyehitaj attention
3) toka na mkeo nyie wawili tu nendeni mahali hata kama hamna hela ya kuspend kwa makubwa but mkae nje ya nyumba kwa masaa kadhaa ili pia muwez kuona wenzenu wakoje
4) anza utaratibu wa kuflirt na mkeo hasa mchana ili ummiss na utamani kumwona
5) mweleze mwenzi wako yale unayoyapenda sana like kama hair style waweza mbadilisha at least once in a week ili awe mpya.
6) usipende kuwa na jicho la lensi bali uwe na jicho lenye kuona mazuri tu hasa wakati kama huu ili usimchukie zaid. jicho lenye kuona mazuri liko established katika kuappreciate kila anachokifanya hasa menu na usafi wa house na anapopendeza.
7) kama vp jion umerud baada ya kuwasimamia kids h/w wachukue to a next grocery or ice cream parlor ili uwaentertain na kuwa karibu na familia through kids. mara nyingi sana akina mama huwa tunapenda baba alkitoka na watoto kwenda nao huko hata kama watamletea zawadi ya pringles lakn kwa mama imerudisha upendo sana na pia itamfanya anapobaki home aandae menu safi sana ambayo mtafurahia. this real works a lot.
anyway hii ni kwa staila yangu so wengine wanaweza kuongezea na si kanuni tafadhali.
Sijui kwa nini naona uvivu kuchangia!
Nina longway kufika huko.....watakuja wenyewe waliochokana au tuwaite kwa majina?
aisee PetCash hizi moments zipo ila ukitaka kuona upendo unarudi tena fanya haya
1) give her a space, waweza kuchukua likizo ukasafiri hata kwenda kijijini kwa wazazi ama yeye akachukua likizo ama pia ukatafuta safari ya kikazi just to give her a space. hii itakufanya ummiss na mara nyingi sana ingependeza kama mke akisafiri wewe ubaki home alone pakuboe ndipo utakapo feel why she should be there.
2) pendelea kumpa mwenzi wako nafasi ya kutoka na marafiki ambao si wewe ili muda ule anapotoka wewe umkose kidogo tena akuachie vijikazi kama mtoto hivi anyehitaj attention
3) toka na mkeo nyie wawili tu nendeni mahali hata kama hamna hela ya kuspend kwa makubwa but mkae nje ya nyumba kwa masaa kadhaa ili pia muwez kuona wenzenu wakoje
4) anza utaratibu wa kuflirt na mkeo hasa mchana ili ummiss na utamani kumwona
5) mweleze mwenzi wako yale unayoyapenda sana like kama hair style waweza mbadilisha at least once in a week ili awe mpya.
6) usipende kuwa na jicho la lensi bali uwe na jicho lenye kuona mazuri tu hasa wakati kama huu ili usimchukie zaid. jicho lenye kuona mazuri liko established katika kuappreciate kila anachokifanya hasa menu na usafi wa house na anapopendeza.
7) kama vp jion umerud baada ya kuwasimamia kids h/w wachukue to a next grocery or ice cream parlor ili uwaentertain na kuwa karibu na familia through kids. mara nyingi sana akina mama huwa tunapenda baba alkitoka na watoto kwenda nao huko hata kama watamletea zawadi ya pringles lakn kwa mama imerudisha upendo sana na pia itamfanya anapobaki home aandae menu safi sana ambayo mtafurahia. this real works a lot.
anyway hii ni kwa staila yangu so wengine wanaweza kuongezea na si kanuni tafadhali.
hebu imagine ukichoka sehemu ya mwali wako mf. Mkono,kiuno n.k unafanyaje?ndo hivyo hivyo
aisee PetCash hizi moments zipo ila ukitaka kuona upendo unarudi tena fanya haya
1) give her a space, waweza kuchukua likizo ukasafiri hata kwenda kijijini kwa wazazi ama yeye akachukua likizo ama pia ukatafuta safari ya kikazi just to give her a space. hii itakufanya ummiss na mara nyingi sana ingependeza kama mke akisafiri wewe ubaki home alone pakuboe ndipo utakapo feel why she should be there.
2) pendelea kumpa mwenzi wako nafasi ya kutoka na marafiki ambao si wewe ili muda ule anapotoka wewe umkose kidogo tena akuachie vijikazi kama mtoto hivi anyehitaj attention
3) toka na mkeo nyie wawili tu nendeni mahali hata kama hamna hela ya kuspend kwa makubwa but mkae nje ya nyumba kwa masaa kadhaa ili pia muwez kuona wenzenu wakoje
4) anza utaratibu wa kuflirt na mkeo hasa mchana ili ummiss na utamani kumwona
5) mweleze mwenzi wako yale unayoyapenda sana like kama hair style waweza mbadilisha at least once in a week ili awe mpya.
6) usipende kuwa na jicho la lensi bali uwe na jicho lenye kuona mazuri tu hasa wakati kama huu ili usimchukie zaid. jicho lenye kuona mazuri liko established katika kuappreciate kila anachokifanya hasa menu na usafi wa house na anapopendeza.
7) kama vp jion umerud baada ya kuwasimamia kids h/w wachukue to a next grocery or ice cream parlor ili uwaentertain na kuwa karibu na familia through kids. mara nyingi sana akina mama huwa tunapenda baba alkitoka na watoto kwenda nao huko hata kama watamletea zawadi ya pringles lakn kwa mama imerudisha upendo sana na pia itamfanya anapobaki home aandae menu safi sana ambayo mtafurahia. this real works a lot.
anyway hii ni kwa staila yangu so wengine wanaweza kuongezea na si kanuni tafadhali.
Hali zenu ndugu zangu wote?
Poleni na swaum kwa wengine wetu tuliomo,
Kwa kuwa ndo naingia huku kwenye uwanja wa walio na ndoa naomba kuuliza swali kwa wale kina mama na kina baba wenye uzoefu wao...
Hivi ilishafikia kipindi ukamchoka mwenzio kabisa?
Sizungumzii kutalikiana ama kuchukua uamuzi wa kuomba/kutoa talaka nazungumzia Moyo wako umefika mahali ukamchoka kabisa
yani (From the bottom of your heart you disdain them totally)
How did you ever get past that?
I appreciate your help.