ha haaaaaaaaaaaaa. siku hizi kuna mabrashi yana mshikio mrefu. linunue hilo liweke bafuni, kila mtu atalitumia kwa wakati wake
u mean it aisee nielekeze nikaipate na mm mana hapa wanaongelewa wenye ndoa wengine bado tupo tupo kwanza
Wazo zuri
nimeona ndoa nyingi kuna hali ya kuogopana kuogeshana
mmmhhh umejuaje?na leo
hii nimeona niwwaletee hii mada ya matatizo yake
kuna watuwengi wanakuwa wakijikuna kwenye ukuta ama wa nyumbani ama
maofisini uchunguzi unaonyesha tatizo la kutosuguana mgongoni limeleta
wanandoa kuwa na uchafu mwingi sana mgongoni kuna watu wana miaka zaidi ya kumi
awajawahi kusuguliwa mgongoni mgongo kama sehemu nyingine yaitaji kusuguliwa jamani
hivyo mkiwa kama wanandoa usikubali mumeo ama mkeo kuanza kuwashwa washwa ovyo mgongoni ogen pamoja suguaneni mkiweza malizanneni ruksa mmehalalishwa
nawatakieni ndoa zenye furaha zisizo na aibu
We umejuaje do you have evidence au unassume tu?
hivi sisi bachelors atatusugua nani..........?????