Wanandoa wameoana na wote wana watoto nje, baada ya kufunga ndoa ni mwaka sasa hawana mtoto. Nani mchawi?

Wanandoa wameoana na wote wana watoto nje, baada ya kufunga ndoa ni mwaka sasa hawana mtoto. Nani mchawi?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kuna watu wanapitiaaa mapitoo lo hata sisemi. Janaa nilikuta mada moja kanisanj wanaijadili nkawa hoii

Kijana ana watoto wawili alizaa njee. Mwanamke alieoana nae ana mtoto mmoja nae alizaa nje. Wakapendana wakaamua tuishi pamoja. Wana mwaka sasa kila kona kila style wapii hawajapata mtoto.

Nawaza mpaka sasa nani mchawi? Ama wale wapendwa wao waliowaacha?
 
Kuna watu wanapitiaaa mapitoo lo hqtq sisemii

Janaa nilikuta mada moja kanisanj wanaijadili nkawa hoii

Kijana ana watoto wawili alizaa njee

Mwanamke alieoana nae ana mtoto mmoja nae alizaa nje

Wakapendana wakaamua tuishi pamoja

Wana mwaka sasa kila kona kila style wapii hawajapata mtoto

Nawaza mpaka sasa nani mchawi??

Ama wale wapendwa wao waliowaacha??
Dunia ina mambo sio siri🤣
 
Hapo ndipo Mungu anawatizama kama kweli walikuwa serious😁😁.

Watoto si kila mtu anao,haya endeleeni kuwapenda.
Binafsi mama yangu amefariki 1996.
Baba akaoa mama mwingine 2001.
Sisi mama ametuacha 5,na yule mama aliyekuja alikuja na watoto 2 wa kike.maisha hayajawahi kuwa mabaya,japo dada zetu hawa wageni walikuwa na hulka za ajabu ila tulipendana nao sana na maisha yakawa amaizing,mpaka mkubwa kati yao alipotuacha rasmi 2022 RIP sister.

Baba na mama huyu hawakuwahi kupata mtoto pamoja,ila ni wazee bora sana wa wajukuu zao.
 
Ngoma draw maisha yalivyo magumu si walee watoto wao?

Anyway kuna situation mbili hapo.
1. Kama mwanamke hajawahi kuchezea kizazi may be kutoa mimba basi situation ya pili inaingia.
2. Mwanaume ndio mwenye tatzo na akapime DNA watoto wake.

Na kingine mbona mwaka ni mdogo sana kupata mtoto? Wanalenga siku ipasavyo hao? Wana elimu sahii ya uzazi? Wakapime afya na kupata ushauri.

Anyway sijui nilitaka kusema nini....
 
4
Wanataka kuongeza wawe na timu ya waogelewaji nn
 
Kuna watu wanapitiaaa mapitoo lo hqtq sisemii

Janaa nilikuta mada moja kanisanj wanaijadili nkawa hoii

Kijana ana watoto wawili alizaa njee

Mwanamke alieoana nae ana mtoto mmoja nae alizaa nje

Wakapendana wakaamua tuishi pamoja

Wana mwaka sasa kila kona kila style wapii hawajapata mtoto

Nawaza mpaka sasa nani mchawi??

Ama wale wapendwa wao waliowaacha??
Mwanaume akapime hao watoto ikiwa ni wake
 
Kuna watu wanapitiaaa mapitoo lo hqtq sisemii

Janaa nilikuta mada moja kanisanj wanaijadili nkawa hoii

Kijana ana watoto wawili alizaa njee

Mwanamke alieoana nae ana mtoto mmoja nae alizaa nje

Wakapendana wakaamua tuishi pamoja

Wana mwaka sasa kila kona kila style wapii hawajapata mtoto

Nawaza mpaka sasa nani mchawi??

Ama wale wapendwa wao waliowaacha??
Simple tu, walipotoka walipaachaje? Maagano gani walikuwa nayo na wenzi wao wa zamani?
 
Mwanaume akapime hao watoto ikiwa ni wake
Mkuuuu 💯 wakawa wake ingawa wanasema wameshapima wote eako sawaa awaelewi shida nnn..

Ukumbuke kuna wafunga vizazi pia oooh

Mijimbayaahii
 
Mkuuuu 💯 wakawa wake ingawa wanasema wameshapima wote eako sawaa awaelewi shida nnn..

Ukumbuke kuna wafunga vizazi pia oooh

Mijimbayaahii
Niwape namba ya mganga wa kufungua?
 
Back
Top Bottom