Kila kitu kinawezekana under the sun hii pia ni njia ya kuzuia utungaji mimba na wapo wanaoitumia na wala si uvivu wa kufikiri ila ni ujuzi na ubunifu mkubwa :becky:
Mi hata sijui inatumikaje na sijaoa na nawachoma kama kawa na sina ngoma maana napimaga kila baada ya miezi mitatu.ukimwi una baadhi ya watu damu yao haishiki na ndo maana kitaa wakanipa jina la kimichio.na kama mishedede ingekuwa ka penseli mi yangu ingekuwa imebaki kifutio.
ovyoooooMi hata sijui inatumikaje na sijaoa na nawachoma kama kawa na sina ngoma maana napimaga kila baada ya miezi mitatu.ukimwi una baadhi ya watu damu yao haishiki na ndo maana kitaa wakanipa jina la kimichio.na kama mishedede ingekuwa ka penseli mi yangu ingekuwa imebaki kifutio.
Kuna lile tangazo la familia K*n*om na hasa ni kwa ajili ya upangaji wa uzazi kwa Wanandoa! Nina penda kujua ni Wanandoa wangapi wanatekeleza utumiaji wa hii bidhaa maalum kwa ajili yao au ni ngamu ngamu tu kila mkutanapo???????:A S 39::A S 39::A S 39:
Hivi kweli, kwa akili ya kawaida, mpo kwenye ndoa, and of all the things: unatumia mpira wa kiume? Sijui hii akili binadamu ameipata wapi? Mke wako una-struggle kuvaa mpira? No wonder wengine wameoa lakini bado wanapiga puli!
Mkuu Baba E, upo?
Mbona mimi natumia? Hii ni kwa ajili ya birth control au mwenzetu una mpango wa kuhakikisha mama mayai yanaisha tumboni? Kwa kuzingatia risk ya contraceptives nyingine, kwako kondomu ndiyo njia bora zaidi.
Nipo Mkuu:
Mimi natumia "calendar" all along - Kama ulivyopost hapo juu hii method ni "safest".
Mipira hii ya "Msaada wa Watu Wa Amerika" yaweza kuwa na madhara huko mbeleni!
Hivi kweli, kwa akili ya kawaida, mpo kwenye ndoa, and of all the things: unatumia mpira wa kiume? Sijui hii akili binadamu ameipata wapi? Mke wako una-struggle kuvaa mpira? No wonder wengine wameoa lakini bado wanapiga puli!
hahahah!hhahah!!!!!!!
wanaume na kukojoa nje ni uwongo asilimia 99 hawawezi its natural na si km waviviu so aliyeponda njia hii namunga mkono its lies by tself
njia nyingine mzuka bt hii ya maruhani imepanda then wajitia naplease nje mmh mh apana sjui lakin
mbona sijakuelewa Kimbweka una maana gani?:mad2:ntakutafuta nikuonyeshe si utanipa eeeh haitanasa:becky::becky::becky: