Wanangu mi ni kuwaombea tu uzima familia zenu zisipoteze shujaa wao maana ukatili huu umezidi na unaweza mpata yoyote

Wanangu mi ni kuwaombea tu uzima familia zenu zisipoteze shujaa wao maana ukatili huu umezidi na unaweza mpata yoyote

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Roho ya mwanadamu sasa hivi ina thamani ya bei ya miguu ya kuku ile inayochomwa na kuuzwa jioni, ROHO ZETU ZIMEKUWA CHEAP SANA.

Utu wa mwanadamu sasa hivi una thamani ya nguo ya ndani(vyupi) vyepesi vile vya buku buku vile ambavyo ukiruka tambo unasikia mlio wa dj yani zzzzzz imechanika, UTU WETU UMEKUWA CHEAP SANA.

Watu wanahesabiwa siku kwa mafungu.

Mungu atulinde.
 
damu ya mzee haitowaacha salama mkuu nchi nzma imesikitika hitalipwa tu mungu atatenda
Nilipopata hiyo taarifa niliumia sana aisee mzee wa miaka hiyo wanamuua kisa mambo ya siasa aisee majambazi yapo mtaani anakuja kuuawa ambae hana hatia kabisa pana jamaangu jana kashindwa kula kabisa anamfahamu viziuri huyo Mzee.
 
Nilipopata hiyo taarifa niliumia sana aisee mzee wa miaka hiyo wanamuua kisa mambo ya siasa aisee majambazi yapo mtaani anakuja kuuawa ambae hana hatia kabisa pana jamaangu jana kashindwa kula kabisa anamfahamu viziuri huyo Mzee.
hata mm toka hii tarifa niipate jana roho imeniuma na inazidi kuniuma japokua mzee simjui na nimejikuta nimewachukia sana aisee hakuna tena amani
 
Ni siasa pekee imeonekana kuna ulaji usio na kifani,nafasi kubwa ya kubadilisha kabisa historia ya ukoo wako mzima kwa masiku kadhaa tu.

Hali hiyo imefanya waliopo madarakani kupigania nafasi zao kwa gharama yoyote,na wasiopo kupambana kwa namna yoyoye ili walau kujaribu kuingia huko.

Kama mtu tu ambaye unaishi ili ufurahie maisha,kaa mbali na siasa,bila kujua unawezakuwa umeweka rehani kila kitu kitu kinachohusiana na uhai wako kwa manufaa ya mtu mwingine.

NAWASILISHA.
 
Umejibu kwa Busara sana mkuu angekua Mwamba flani hivi wakuitwa Stress Challenger, Vishu Mtata au Moisemusajiografii pange chimbika kwa navyowajua kwa kupenda nongwa!
😁😁
Najua jinsi ya kwenda na vijana waliokulia vijijini hao wao kutukana wanaona Ujanja sana ila wakitukanwa wao wanaweza kwenda mpaka kwa Mganga waliwe Jogoo tena..Strees Challenger anakua kama ametafuna pili pili huwa nacheka sana.
 
Roho ya mwanadamu sasa hivi ina thamani ya bei ya miguu ya kuku ile inayochomwa na kuuzwa jioni, ROHO ZETU ZIMEKUWA CHEAP SANA.

Utu wa mwanadamu sasa hivi una thamani ya nguo ya ndani(vyupi) vyepesi vile vya buku buku vile ambavyo ukiruka tambo unasikia mlio wa dj yani zzzzzz imechanika, UTU WETU UMEKUWA CHEAP SANA.

Watu wanahesabiwa siku kwa mafungu.

Mungu atulinde.
Inauma sana kwa wapenda Utu!
 
Back
Top Bottom