kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
KUNA JAMAA YANGU UWA NAMUONA ANAENDA CHURCH KIMAZOEA KABISA MAANA NI MUHUNI SANA ATA MATENDO YAKE SIO KABISA NA KILA JUMAPILI LAZIMA AENDE CHURCH ATA KAMA ANA HANGOVER AU KATOKA KUZINI USIKU WAKE
Hao wana mengi nyuma ya paziaLakini Wa Kwenye Maofisi Makubwa Huko Wanaotafuna Kodi Zenu Haswa Hawajafungwa
Achana na manabii wauza maji nipo hapa nazungumzia Kanisa ni sehemu sahihi kwa vijana wote hawatoondoka bure watapata mafanikio katika mazingira rahisi na sio kuhenya kuna maarifa makubwa kwenye neno la Mungu mtu aliyapata anabadilika kutoka kuwa masikini Hadi utajiri๐๐๐MTOA MADA FANYA KAZI MAFANIKIO YA PESA HAYANA MIUJIZA,HUKO CHACHI HAKUNA KITU UTAPATA ZAIDIZAIDI WANATAKA WAKUKUIBIE HIVYO VIJISENT VYAKO KWA MGONGO WA SADAKA.
WEWE UKITAKA MAFANIKIO WANAKWAMBIA FUNGA MACHO TUKUOMBEE,WAO WAKITAKA KUFANYA PROJECT ZAO WANAWACHANGISHA SADAKA๐๐๐.
๐KAA KIJANJA WAJINGA NDIO WALIWAO!!!
PELEKA UJINGA HUKO WATAPATA NINI ZAIDI YA KUOMBWA SADAKA!!!Achana na manabii wauza maji nipo hapa nazungumzia Kanisa ni sehemu sahihi kwa vijana wote hawatoondoka bure watapata mafanikio katika mazingira rahisi na sio kuhenya kuna maarifa makubwa kwenye neno la Mungu mtu aliyapata anabadilika kutoka kuwa masikini Hadi utajiri
Onho ๐คBodaboda wanahitaji maombi sana ili wamrudie Mungu Hawa vijana ni kama wengi wamefungwa bila wao kujua.
Kanisa ndio sehemu sahihi ya mtu kupata msaada na maarifa ya kupata pesa kihalali huko club na sehemu zingine za starehe hamwezi kupata mafanikio ujumbe wangu fanyeni kazi msimsahau Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ratiba zao kulala saa saba usiku hapo amekutafuta malaya anaenda kukesha kwenye kiuno cha malaya
Kuamka saa moja kwenye visungura[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Bila shaka wewe ni atheistPELEKA UJINGA HUKO WATAPATA NINI ZAIDI YA KUOMBWA SADAKA!!!
DINI INGEKUWA NA MAANA YOYOTE DUNIA INGEKUWA MAHALI SALAMA ILA DINI NI CHOMBO CHA KUTAWALA MAZOMBIE KAMA WEWE.KAFANYE KAZI HAKUNA FREE LUNCH HAPA DUNIANI.
๐๐๐ACHA HUO UJINGA WA DINI,FANYA KAZI MAFANIKO HAYANA HURUMA.NA HAYASIKII VILIO VYA WAVIVU!!!
๐Mimi ni AGNOSTICB
Bila shaka wewe ni atheist
Mbona bodaboda waislamu hawakosekani misikitini?! Kuna uwezekano huko kanisani sadaka zinakuwa nyingi kupita kiasi wakati vijana bado wanajitafuta! Punguzeni sadaka na michango watakuja tu sivyo tutawasilimisha !.Bodaboda wanahitaji maombi sana ili wamrudie Mungu Hawa vijana ni kama wengi wamefungwa bila wao kujua.
Kanisa ndio sehemu sahihi ya mtu kupata msaada na maarifa ya kupata pesa kihalali huko club na sehemu zingine za starehe hamwezi kupata mafanikio ujumbe wangu fanyeni kazi msimsahau Mungu
Sadaka ni lazima ziwe nyingi kila sadaka Ina msaada wake ni vile mtu anahitaji Nini na sadaka yake ni ipiMbona bodaboda waislamu hawakosekani misikitini?! Kuna uwezekano huko kanisani sadaka zinakuwa nyingi kupita kiasi wakati vijana bado wanajitafuta! Punguzeni sadaka na michango watakuja tu sivyo tutawasilimisha !.