Wananichanganya sana pliz naomba mnisaidie!

kwa kioo wang'arisha sura? I can't believe this!
 
hahahaa dah toka jana nafurahi tu hyo ngeli jamani "i so handsome?mtumeee simama ukikaka 2mekwisha..
 
Duh,no wonder wanawake hawataki kuolewa nowdays kama wanaume wenyewe ndio akina cabaiser,ma men as you're calling yourself hebu soma mabandiko yote itakusaidia kujua unatakiwa kuwa upande gani wa shilingi to me you are sounding like a gay who is in denial stage.
 
khaaaaaaaaaaaa!

Duniani kuna vituko na ukistaajabu ya musa utaona ya firauni... Lolz!
 

I thought uko mtaani unasaka ajira na kutafuta mshiko kumbe uko kwenye kioo unang'arisha sura. Ng'arisha sura mwanaume jina upate wa kukulipia huduma zote na kukupangishia na cchumba maana wapo wengi wanatafuta watu kama wewe.
Mwanaume sio sura wewe mtu mzima ila akili za kitoto bana. Hao unaosema wana sura kama ugali wa jana ndo wanaume maana muda huu wako mtaani wanasaka noti na ajira. Wewe endelea kung'arisha zura utapata wa kukupenda.
Disgusting!!!!!!
 

Duh! nahisi una matatizo makubwa...
 

umesoma nini huko?
 
Nikushauri k2 m2 wangu,apply chuo upya hapa bongo,uanze 1st yr,maana hyo elimu uloifata huko malaysia haijakukomboa bado..

hahahaha, hana pass huyu atasoma chuo gani?
afu niliwahi kuskia ma-cabaiser wote wameishia form two
 
Nikushauri k2 m2 wangu,apply chuo upya hapa bongo,uanze 1st yr,maana hyo elimu uloifata huko malaysia haijakukomboa bado..

hahahaha, hana pass huyu atasoma chuo gani?
afu niliwahi kuskia ma-cabaiser wote wameishia form two
 
hahahaha, hana pass huyu atasoma chuo gani?afu niliwahi kuskia ma-cabaiser wote wameishia form two
mnanchekesha wakuu huko malaysia alienda kuungana na wale waandamanaji wa Red shirt kaazi kweli kweli
 
Subiri mwakani nnampango wa kuanzisha shinndano la kumsaka handsome.
 
Tatizo mambo unayo yasema na muonekano wako haviendani yawezekana Dem amesitukia kutapeliwa.......harafu unaonekana umefulia ile mbaya cha kukushauli naomba uendelee kutafuta Job kwanza..zen ndo urudi nikwambie ni yupi Dem wa kumchukua
 
huyu mhandsome kasoma kuala lumpa,yule mwingine university dodoma na one week south afrika,nyie vijana mnakula nini huko vyuoni?tuambiane maana naona akili zenu zooote km watoto wa nursery,thread zenu zaidi kama mnatafuta mabwana hamueleweki
 
Tatzo sio uhandsome tatzo ni pesa fight 4money watakuja wenyewe
 
Hii ndio aina ya watanzania mnaotegemea wabadilishe Tanzania, Juha kweli wewe!

Inaniuma sana nikifikiria n.g.e.l.e.j.a na bosi wake kama ni watanzania walio na gene kama ya huyu kijana
 
acha uboya we2 tafuta mada nyingine ya kutueleza handsome ndo kitu gan tafuta pesa ndo itaamua kama we2 hand au co lakin maduu kama huna cash watakusumbua tu coz those btch always think s bout mny so mtu wangu just focus on money making i hop umenielewa







 
Cassablanca+ handsome=
utawapat tu kam una nia,endelea kwan ka CV kako n kazur kw hizo mambo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…