Unampenda kweliiiii, kigezo gani hicho cha kumwacha umpendaye, wangapi wamepishana hata miaka kumi na bado wanapendana????
Kukuzeeekea labda umzeeshe wewe manake bila matunzo mazuri kweli utamuona mzeee, tofauti na hapo usidanganyike, au unampotezea tu muda wake?????