Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Nilisikitika mno kumsikia bwana Kazumali (mchambuzi wa soka E FM) akifanya kampeni ya kulalamika kwa nini mchezaji Fei Toto hakujumuishwa kwenye timu ya Taifa iliyokwenda Algeria.
Namkuali mno bwana huyu ila kwa hili alinifnya niamini kuwa kweli binadamu hatuko sahihi siku zote.
Hongera sana timu yote iliyoenda Algeria na kufanikiwa lengo la kwenda kucheza faiali za AFCON.
Ninawasihi wapenzi wa Fei Toto wasubiri tu uteuzi mpya atakuwemo na kwenda be huko AFCON
Namkuali mno bwana huyu ila kwa hili alinifnya niamini kuwa kweli binadamu hatuko sahihi siku zote.
Hongera sana timu yote iliyoenda Algeria na kufanikiwa lengo la kwenda kucheza faiali za AFCON.
Ninawasihi wapenzi wa Fei Toto wasubiri tu uteuzi mpya atakuwemo na kwenda be huko AFCON