Wanao nunua Vi Baby Walker Wakasirikiwa na Jimbo la Virginia!

Wanao nunua Vi Baby Walker Wakasirikiwa na Jimbo la Virginia!

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,728
Gavana wa jimbo la Virginia, Marekani Bwana Governor Bob McDonnel, ameonesha wasiwasi wake wa kupungua kwa mapato yatokanayo na ushuru wa nishati ya mafuta kwa kadiri watu wanavyozidi kununua magari yanayotumia mafuta kwa ufanisi wa juu. Amesema kuwa bajeti ya maendeleo ambayo inafadhiliwa na kodi zitokanazo na uuzaji wa mafuta inaweza ikakwama kwa kuwa watumiaji wa magari watatumia mafuta kidogo zaidi kwa safari zao na hivyo kupungua kwa tozo zitokanazo na uuzaji wa mafuta.
Kwa hali hiyo, amependelea watu waachane na Vibaby walker na kununua magari yanayotumia mafuta mengi ili tozo za ushuru wa mafuta zipande ili bajeti ya jimbo lake lisikwame.

Kwa habari zaidi soma:

http://business.time.com/2013/01/16/virginia-is-worried-cars-are-becoming-too-fuel-efficient/


 
Back
Top Bottom