comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Hawa watu msiwatukane, wasikilizeni maana Wana maana Yao kusema hivyo, wengi wao wanaoamini hivyo wameamua kua hivyo kutokana na magumu na machungu waliyokutana nayo kwenye maisha na walipomuhitaji Mungu hakuwasaidia.
Unakuta mtu ana jambo linalomnyima furaha kwenye maisha, ametafuta msaada kwa MUNGU nae hajamsaidia, sasa mtu anashikwa na gadhabu " Kweli huyu Mungu kama yupo kwanini hanisaidii kwenye hili? Na tunaambiwa NI Mungu muweza wa yote"
Unajua kuna mengi Sana yanaendelea kwenye hii Dunia unajiuliza Mungu anaona kweli? Na kama anaona mbona hazuii haya?
Kwa mimi naona hawa Atheist ⚛️ Wana hoja wasikilizwe, Mimi binafsi sio Atheist lakini kuna mambo yanatokea kila kukicha naona kama mbona kama hawa jamaa Wana hoja? Yani kila siku zinavyoenda naona kama hawa jamaa wana point.
Binafsi napata utata, siamini kama Dunia ilitokea tuu from no where, naamini lazima alikuwepo muumbaji lakini wasiwasi wangu NI KWELI HIZI SIFA ZA HUYU MUUMBAJI "Mungu" tunazozisikia na kuzisoma zina ukweli?
Je, Mungu ana huruma kweli? Mbona yanayoyokea sioni kama kweli ana huruma na watu wake?
Mimi naona Ni
*Mbinafsi
*Hana huruma
*Kiburi
*Kuna mambo yako nnje ya uwezo wake
* Ana upendeleo
Au nawaza baada ya kuumba ulimwengu na vilivyomo, yeye akamtupa shetani na majini duniani Sisi binadamu wake anaotupenda tupambane, halafu yeye akakaa pembeni!?
Nataman sana niabudu DINI za asili ambazo zilikuepo kabla ya ujio wa waarabu na wazungu, lakini nashindwa nianzie wapi Mimi Nina asili ya Kagera japo sipajui.
Kwa sasa nikiona mtu anaenda kanisani Yani naona kama ametoka kudanganywa 😀 sijui nimeshaathirika kisaikolojia, kanisani sijawah kukanyaga mwaka wa 15 huu (lakini cha kushangaza Mimi ni mtu mwema kuliko hata hao wanaojazana kanisani maana wengi nakaa nao huku mtaani, wengi walevi tuu na wanapenda sana ch*pi!
Nipe muongozo wakuu kua muumini wa DINI za asili kabla ya ujio wa waarabu na wazungu naanzia wapi?
Unakuta mtu ana jambo linalomnyima furaha kwenye maisha, ametafuta msaada kwa MUNGU nae hajamsaidia, sasa mtu anashikwa na gadhabu " Kweli huyu Mungu kama yupo kwanini hanisaidii kwenye hili? Na tunaambiwa NI Mungu muweza wa yote"
Unajua kuna mengi Sana yanaendelea kwenye hii Dunia unajiuliza Mungu anaona kweli? Na kama anaona mbona hazuii haya?
Kwa mimi naona hawa Atheist ⚛️ Wana hoja wasikilizwe, Mimi binafsi sio Atheist lakini kuna mambo yanatokea kila kukicha naona kama mbona kama hawa jamaa Wana hoja? Yani kila siku zinavyoenda naona kama hawa jamaa wana point.
Binafsi napata utata, siamini kama Dunia ilitokea tuu from no where, naamini lazima alikuwepo muumbaji lakini wasiwasi wangu NI KWELI HIZI SIFA ZA HUYU MUUMBAJI "Mungu" tunazozisikia na kuzisoma zina ukweli?
Je, Mungu ana huruma kweli? Mbona yanayoyokea sioni kama kweli ana huruma na watu wake?
Mimi naona Ni
*Mbinafsi
*Hana huruma
*Kiburi
*Kuna mambo yako nnje ya uwezo wake
* Ana upendeleo
Au nawaza baada ya kuumba ulimwengu na vilivyomo, yeye akamtupa shetani na majini duniani Sisi binadamu wake anaotupenda tupambane, halafu yeye akakaa pembeni!?
Nataman sana niabudu DINI za asili ambazo zilikuepo kabla ya ujio wa waarabu na wazungu, lakini nashindwa nianzie wapi Mimi Nina asili ya Kagera japo sipajui.
Kwa sasa nikiona mtu anaenda kanisani Yani naona kama ametoka kudanganywa 😀 sijui nimeshaathirika kisaikolojia, kanisani sijawah kukanyaga mwaka wa 15 huu (lakini cha kushangaza Mimi ni mtu mwema kuliko hata hao wanaojazana kanisani maana wengi nakaa nao huku mtaani, wengi walevi tuu na wanapenda sana ch*pi!
Nipe muongozo wakuu kua muumini wa DINI za asili kabla ya ujio wa waarabu na wazungu naanzia wapi?