Azam sport 3Na bado... mpk mseme... BTW channel gani
Matokeo??
Duuuh hili kundi nalo la motoo, daah
Na Yanga Kesho anshindaDuuuh hili kundi nalo la motoo, daah
Mbna itakua hatariii mnoo [emoji23][emoji23][emoji23]
Yanga walichomeshwa na Kipa wao mzembe.....Belouzdad si chochoteMbna itakua hatariii mnoo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kila team ina mnyonge wake, mnyonge wa Belouzdad ni Yanga, ila wanyonge wa Yanga ni al ahly 😂
Halafu bado ni bwana mdogo ana miaka 19,sasa imagine mechi inayokuja yanga ndo anawafuata kwao GhanaBelouizdad Haamin alichokutana nacho Nilisema mm huyu kipa wa Medeama ni hatari sana nadhani leo watu wamejionea
Kwa hiyo utopolo wapo kwenye kundi la kifo ?..Tulidhani hawa madeama ni underdog, angalia mpira wanaoopiga Belouizdad wanatamani mpira uishe.
Yanga asiposhinda kesho kwa Mkapa basi ndoto yao itakuwa imeishia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app