Hao medeama hawajaenda [emoji1026], watapigwa wachakae. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga walichomeshwa na Kipa wao mzembe.....Belouzdad si chochote
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Aisee huyu bwana mdogo aende ulaya tu huku Africa sio size yakeHalafu bado ni bwana mdogo ana miaka 19,sasa imagine mechi inayokuja yanga ndo anawafuata kwao Ghana
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliyasema haya, jamaa wako vizuri sana. Waarabu sijui kwa nini wana mentality wakiwa nje wanacheza mpira ronyoronyo sana. Hawa wakienda kurudiana Algeria watapelekewa moto hautadhani ndiyo CRB waliocheza leo.Dah Yanga wanaweza wasitoke hata na point moja kwenye group lake. Al Ahly wameshaona timu za kusini zimeanza kuwachezea masharubu, watakuja na zana zote wala hauhitaji kuwapa ramani ya mchongo mzima. Nimewaangalia wake Medeama nao wako vizuri kishenzi, wanaweza kuipiga uto ndani nje.
Kwa hiyo Uto wa watashinda hamsa kesho na kushishikq usukani?Hili kundi kila timu itashinda nyumbani. Atakayekuwa na magoli mengi ndio atafuzu
Mkuu hili kundi ni ngumu,walisema tunampelekea moto Al Ahly nashangaa mda unavyoenda wanaanza kuwa wakimyaKwa hiyo utopolo wapo kwenye kundi la kifo ?..
Utopolo nae apambane ashinde mechi zake hapa Tz.
Nadhani mpaka sasa wameshaona haya mashindano sio mepesi kama walivyokuwa wanafikiri.Mkuu hili kundi ni ngumu,walisema tunampelekea moto Al Ahly nashangaa mda unavyoenda wanaanza kuwa wakimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tuone kesho km kila timu itashnda nyumbaniHili kundi kila timu itashinda nyumbani. Atakayekuwa na magoli mengi ndio atafuzu
Ndo kashika mkiakwahio hilikundi yanga ndio hana point[emoji848][emoji848][emoji848]
Atashinda Njaa
Fatilia timu yako acha kushupalia mambo ya jirani wakati kwako kunanuka, wewe si unacheza kesho au ndio mshajikatia tamaa na kikosi chenu Cha wazee wa pensheni!Tulidhani hawa madeama ni underdog, angalia mpira wanaoopiga Belouizdad wanatamani mpira uishe.
Yanga asiposhinda kesho kwa Mkapa basi ndoto yao itakuwa imeishia hapo.
Full Time MADEAMA 2 BELOUIZDAD 1
Kundi la.moto sana.Duuuh hili kundi nalo la motoo, daah
MnooKundi la.moto sana.
Kwa Al Ahly asahau akijitahidi ni point 1usiseme hivyo mkuu hadi kesho saa tatu mana hilikundi kilamtu kachukua pointi nyumbani kwake labda nayanga kesho atafanya hivyo.
Sisi tunavuka,sisi ndo wazee wa club bingwaFatilia timu yako acha kushupalia mambo ya jirani wakati kwako kunanuka, wewe si unacheza kesho au ndio mshajikatia tamaa na kikosi chenu Cha wazee wa pensheni!
Yanga kuchukua points 3 kwa Al Ahly apewe bure,na kundi ilivyo unadhani Ahly atafanya uzembe?usiseme hivyo mkuu hadi kesho saa tatu mana hilikundi kilamtu kachukua pointi nyumbani kwake labda nayanga kesho atafanya hivyo.
Yanga walikuwa na shida ya umaliziaji pia.Yanga walichomeshwa na Kipa wao mzembe.....Belouzdad si chochote
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app