🤣🤣🤣😅mpira huo unacheza kwenye ps au?Shindwa, kesho al ahly analia, cr akija analia, madeama akija analia, point tisa hzo, tukienda kwa al ahly draw, madeama kwake analia, hatujapita?
Aly Kamwe aliulizwa unaonaje mechi ya BELOUIZDAD na Al Ahly inayokuja? Kwa kupoza machungu aliongelea ushindi wa goli 5 wa Yanga na kuchukua kombe la NBC. Nilicheka sana, hii nchi kuna watu wamevurugwa sanaWewe ASEC Memosas kakutoa jasho nyumbani huoni ila umekomaa na ya jirani
CRB walikuwa wazito sana na walikuwa wakifika katikati ya dimba wanapunguza mwendo kama hawataki kwenda mbele. Mpira wa Africa ina mambo mengiKama umeangalia mpira vizuri medeama hawajacheza mpira wa kumfunga yang, nlichokiona yanga alikosea plan ya kumfunga CRB, Leo waarabu walikua frustrated sana na hyo yanga wakija wacheze hivo
Mtaukumbuka sana ushindi wa goli 5 maana Algeria mlichezea 3 kwa yai, kesho Al Ahly wanapiga pale pale kwenye mshono.Naona Makolo wana tafutia furaha kwa yanga [emoji28]ziil3 missiles 5 zili hsribu saikolojia kabsa
Anashinda njaa.
Wewe unayeiweza ushawahi leta kombe?Uto hii CL hawaiwezi.
Wakacheze shirikisho ndio size yake.
Na walifinywa goli la halali first half....Nani mwingine kaona Cr Belarouzidad wamefungwa goli lisilo.la halali?
Mchezaji aliushika mpira sijui mliona ile faulo?
Usiogope. Al ahly kesho anapigwa nyingi tuMkuu hili kundi ni ngumu,walisema tunampelekea moto Al Ahly nashangaa mda unavyoenda wanaanza kuwa wakimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlisha tuombea mabaya mengi ila hua yanageuka kua memaYanga atakuwa wa mwisho hili kundi.[emoji53]
First half sijaangaliaNa walifinywa goli la halali first half....
Ule Mpira uliomponyoka kipa ulivuka mstari ,waweza angalia Tena vizuri.
Chini ya comment unayotaka kuquote bonyeza "Quote" halafu nenda katika uzi unaotaka kuiweka, kwenye box la kureply chini hapo bonyeza "Insert quotes", itakuonyesha quote unayotaka kuweka, bonyeza "Quote messages".
Unaweza pia kuquote message zaidi ya moja kwa pamoja, unachotakiwa kufanya nenda katika kila message unayotaka halafu bonyeza "Quote" halafu malizia nilivyosema hapo juu na itakuonyesha list ya messages zote.
Yaani aitapike hiyo hela
Ova
Chini ya comment unayotaka kuquote bonyeza "Quote" halafu nenda katika uzi unaotaka kuiweka, kwenye box la kureply chini hapo bonyeza "Insert quotes", itakuonyesha quote unayotaka kuweka, bonyeza "Quote messages".
Unaweza pia kuquote message zaidi ya moja kwa pamoja, unachotakiwa kufanya nenda katika kila message unayotaka halafu bonyeza "Quote" halafu malizia nilivyosema hapo juu na itakuonyesha list ya messages zote.
WAKO WAPI WATU WAKO 😂😂Acha woga....Yanga sio Simba ya kina Bocco na Saidoo...
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
ubetia ndo nn? Hata yanga ana maumivu ya kupoteza confederation cup na mech dhid ya cr, tukutane hapa baada ya dk 90+Ili ushindi uwe mnono na uwe na furaha zaidi weka mkeka u-betia Yanga. Ukiweka milion 1 utapata milion 2.
Kama mnafikria Simba alifungwa goli 5 na Yanga halafu Simba na Al Ahly walitoka draw nje ndani basi hii game itawapoza kesho
Kumbuka mnacheza na bingwa wa Champion League aliyechukua kombe kwahiyo usifikiria ni jambo rahisi sana pia ana maumivu ya kupoteza African Super Cup
pia siyo mgumu kihivyoMpira sio mrahisi kihivyo.