DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Nashangaa sana watu wanaobeza ushindi walioupata leo SIMBA SC, na ukichunguza kwa makini utagundua ni wivu na husda za kuona SIMBA wanazidi kuchanja mbuga.
Ukiangalia mpaka kufikia leo ktk mechi zote zilizochezwa za CAF CL na CAF CC hakuna hata timu moja iliyopata ushindi wa magoli zaidi ya mawili ,HAKUNA.
Timu zote zimepata ushindi wa tofauti ya goli moja tu....[emoji116][emoji116]angalia hapo chini. Hii ni tafsiri ya ugumu wa mashindano haya na timu zimejiandaa kwelikweli katika hatua hii kubwa.
Mimi naona tupunguze wivu haujengi,
Mchambuzi anaanza kuichambua game ya tarehe 24 na kusema tutapoteza kwa magoli mengi...dah
SIMBA HII ITAWAUMIZA KWELIKWELI,NA MTAKONDA NGEDERE NYIE.
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Ukiangalia mpaka kufikia leo ktk mechi zote zilizochezwa za CAF CL na CAF CC hakuna hata timu moja iliyopata ushindi wa magoli zaidi ya mawili ,HAKUNA.
Timu zote zimepata ushindi wa tofauti ya goli moja tu....[emoji116][emoji116]angalia hapo chini. Hii ni tafsiri ya ugumu wa mashindano haya na timu zimejiandaa kwelikweli katika hatua hii kubwa.
Mimi naona tupunguze wivu haujengi,
Mchambuzi anaanza kuichambua game ya tarehe 24 na kusema tutapoteza kwa magoli mengi...dah
SIMBA HII ITAWAUMIZA KWELIKWELI,NA MTAKONDA NGEDERE NYIE.
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app