mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Luc Eymael hakukosea . Litimu lenu hata wahanga wa vita wa somalia mlishindwa kuwafunga hayo magoli mengi . Rivers waliwasugua mbele na nyuma bila majibu . Leo unataka simba ndo afunge kila timu inayokuja bongo magoli 3 +. Wewe ulishindwaje kumfunga Rivers?Subiri match ya marudiano ndio utajua umuhimu wa kufunga magoli mengi ukiwa kwako.
Umeeleza vema,kama hajakuelewa aaah au basiKwa hiyo wewe uliwaona Orlando Pirates walikuja kwa Mkapa kupunguza idadi ya magoli tu?
Wewe unadhani timu ikiwa ugenini ni haki kufungwa, tena kufungwa magoli mengi?
Waza kwanza uwezo wa Orlando Pirates kabla ya mechi hii wakiwa ugenini, halafu tafakari uwezo wa Simba kwa jinsi walivyocheza jana.
Simba jana waliweza kucheza vizuri kuzuia kufungwa wakiwa uwanja wa nyumbani, wakacheza vizuri kuweza kupata goli la ushindi wakiwa nyumbani. Hayo ni matokeo na hatua njema ya kuweza kuanzia katika kujipanga game ya marudiano.
Watabadilika,nafikiri na wao wanalijua hilo pia....tusiwe negative sana maana hakuna asiyelijua hilo.Kwenye mpira wa miguu unapocheza away jambo la kwanza ni kuzuia kutofungwa kwa maana ya kutafuta sare, jambo la pili ni kutafuta goli la ugenini.
Na inapotokea imeshindikana na umeeuhusu goli basi jambo la tatu ni kufanya kila namna usifungwe magoli mengi ili ukawa na mlima mrefu kwenye mechi ya marudiano.
Alichoongea jamaa sidhani kama umemurlewa, hofu yake ni jinsi simba inavyocheza away msimu huu unampa mashaka ni heri wangepata advantage ya kuwapa Orlando mrefu wa kuupanda.
Mechi ya Simba vs Red arro, Simba walipata advantage ya magoli matatu lakini walivyoenda Zambia mpira waliocheza ulikuwa unasikitisha. Wale wazambia wangekuwa makini game walikuwa wanaimaliza first half, mechi ya berkane, ya Assec away.
Alichosema makaveli10 ni huko ugenini Simba wanabidi wabadilike ili kuweza kufuzu lasivyo watakutana na zahama
Kama umeshindwa kuelewa point yangu basi haya ndio maajabu yenyewe ya nchi.....Mkuu sijui point yako ni ipi ila kwa matokeo hayo ni kwamba hao wote waliokuwa away wanajua nidhamu ya kucheza away na ndio maana hakuna aliyefungwa 2+ inatakiwa Simba ifanyie mazoezi mbinu na ufundi za kucheza away ili wafanye kama hao walivyofanya away akatoe sare au akashinde au akaruhusu goli moja tu.
Tatizo sio kushinda kigoli kimoja cha penalti, tatizo linalowafanya mashabiki wa simba kupoteza nuru ya furaha juu ya huo ushindi finyu ni game aproach ya simba wenyewe kwenye mechi za ugenini imekuwa ni kama pombe ya ngomani inagongeshwa goli za kutosha, bahati mbaya Sana wameanzia nyumbani na ushindi mwenyewe ndo Kama ivyo, Kama uko nyumbani na forward zako zimeshindwa kufurukuta angalau kuonyesha uhai ata kidogo unategemea nini ugenini??? Msimu uliopita kaizer chiefs alishinda nyumbani kwake goli 4 bila lakini akaja kwa mkapa akafungwa goli 3 bila vipi Kama angeshinda kwake 1 bila si angeondoshwa, Mantiki ya kushinda kwako goli za kutosha ni iyo kwa maana na mpinzani wako na yeye anakwenda kujipanga kwa siraha zote nyumbani kwake Kama ulivyojipanga wewe, ukweli ni kwamba simba mechi za mtoano bado aijajua namna ya kuzicheza na ushindi wa kigoli kimoja kwenye hatua Kama hii mbaya Sana kwa maana kocha anabaki njia panda ajui kule ataenda kustick na mfumo gani wa kulinda ilo goli moja au akafunguke, sasa katika ayo yote bado kiama awezi kukiepuka kwa maana akilinda atapigwa msako wa hatari na ndani ya dk chache anaweza asiamini macho yake kwa aina ya timu aliyonayo na uwezo wake mdogo kimbinu, pia akitaka ashambulie wapishane bado na penyewe atakula za uso kwa aina ya uchezaji wa orlando ambao nyumbani kwao watakuwa kama nyuki waliochokozwa kwenye mzinga waoKwa hiyo wewe uliwaona Orlando Pirates walikuja kwa Mkapa kupunguza idadi ya magoli tu?
Wewe unadhani timu ikiwa ugenini ni haki kufungwa, tena kufungwa magoli mengi?
Waza kwanza uwezo wa Orlando Pirates kabla ya mechi hii wakiwa ugenini, halafu tafakari uwezo wa Simba kwa jinsi walivyocheza jana.
Simba jana waliweza kucheza vizuri kuzuia kufungwa wakiwa uwanja wa nyumbani, wakacheza vizuri kuweza kupata goli la ushindi wakiwa nyumbani. Hayo ni matokeo na hatua njema ya kuweza kuanzia katika kujipanga game ya marudiano.
Hayo magoli mengi mlishindwaje nyie kufunga dhidi ya Rivers!!!???Subiri match ya marudiano ndio utajua umuhimu wa kufunga magoli mengi ukiwa kwako.
kwa hiyo yanga hawakuona umuhimu wa kufunga mabao kabisa (maana hawakuwahi kupata hata goli moja) walipocheza na Wanaijeria?Subiri match ya marudiano ndio utajua umuhimu wa kufunga magoli mengi ukiwa kwako.
Pole sana kwa maumivu utopolo.Wewe timu Ina Mugalu na Kibu alafu unataka Magoli mengi uyatoe wapi!! Bila penalty ya mchongo na kuzima VAR ata ilo Moja halikuwepo.
Unaweza kunitajia timu Moja tu hapa Tz iliyowahi kupata matokeo ugenini kwa timu za kaskazini na magharibi mwa Afrika tofauti na simba kwa miaka ya hivi karibuni?Tatizo sio kushinda kigoli kimoja cha penalti, tatizo linalowafanya mashabiki wa simba kupoteza nuru ya furaha juu ya huo ushindi finyu ni game aproach ya simba wenyewe kwenye mechi za ugenini imekuwa ni kama pombe ya ngomani inagongeshwa goli za kutosha, bahati mbaya Sana wameanzia nyumbani na ushindi mwenyewe ndo Kama ivyo, Kama uko nyumbani na forward zako zimeshindwa kufurukuta angalau kuonyesha uhai ata kidogo unategemea nini ugenini??? Msimu uliopita kaizer chiefs alishinda nyumbani kwake goli 4 bila lakini akaja kwa mkapa akafungwa goli 3 bila vipi Kama angeshinda kwake 1 bila si angeondoshwa, Mantiki ya kushinda kwako goli za kutosha ni iyo kwa maana na mpinzani wako na yeye anakwenda kujipanga kwa siraha zote nyumbani kwake Kama ulivyojipanga wewe, ukweli ni kwamba simba mechi za mtoano bado aijajua namna ya kuzicheza na ushindi wa kigoli kimoja kwenye hatua Kama hii mbaya Sana kwa maana kocha anabaki njia panda ajui kule ataenda kustick na mfumo gani wa kulinda ilo goli moja au akafunguke, sasa katika ayo yote bado kiama awezi kukiepuka kwa maana akilinda atapigwa msako wa hatari na ndani ya dk chache anaweza asiamini macho yake kwa aina ya timu aliyonayo na uwezo wake mdogo kimbinu, pia akitaka ashambulie wapishane bado na penyewe atakula za uso kwa aina ya uchezaji wa orlando ambao nyumbani kwao watakuwa kama nyuki waliochokozwa kwenye mzinga wao
Subiri match ya marudiano ndio utajua umuhimu wa kufunga magoli mengi ukiwa kwako.
Simba kamtungika Orlando Moja la nguvuMbona hamna matokeo ya simba
Matokeo yapi aliyopata simba ugenini? Sare ya gendamarie?Unaweza kunitajia timu Moja tu hapa Tz iliyowahi kupata matokeo ugenini kwa timu za kaskazini na magharibi mwa Afrika tofauti na simba kwa miaka ya hivi karibuni?
Kwaiyo unataka kusemaje, ukubali ukatae ndo mwisho wenu, cha kwanza mechi za ugenini amziwezi, cha pili amna kocha pale kuna kivuli tu, cha tatu forward yenu ni butu ukiachilia mbali beki za wakina wawa na babu onyango, kwa timu ya aina iyo unajitapa kwa ushindi wa kigoli cha penalti nyumbani kwako?Nashangaa sana watu wanaobeza ushindi walioupata leo SIMBA SC, na ukichunguza kwa makini utagundua ni wivu na husda za kuona SIMBA wanazidi kuchanja mbuga.
Ukiangalia mpaka kufikia leo ktk mechi zote zilizochezwa za CAF CL na CAF CC hakuna hata timu moja iliyopata ushindi wa magoli zaidi ya mawili ,HAKUNA.
Timu zote zimepata ushindi wa tofauti ya goli moja tu....[emoji116][emoji116]angalia hapo chini. Hii ni tafsiri ya ugumu wa mashindano haya na timu zimejiandaa kwelikweli katika hatua hii kubwa.
Mimi naona tupunguze wivu haujengi,
Mchambuzi anaanza kuichambua game ya tarehe 24 na kusema tutapoteza kwa magoli mengi...dah
SIMBA HII ITAWAUMIZA KWELIKWELI,NA MTAKONDA NGEDERE NYIE.
View attachment 2191263View attachment 2191264
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Hahahahaah kiuno kinamajibuSimba kwani kashinda magoli mangapi? Huwa siendi uwanjani na wala huwa siangalii na kusikiliza live matches, watu wengine midadi yetu iko kiunoni
Achana na walevi hao.Kwa hiyo wewe uliwaona Orlando Pirates walikuja kwa Mkapa kupunguza idadi ya magoli tu?
Wewe unadhani timu ikiwa ugenini ni haki kufungwa, tena kufungwa magoli mengi?
Waza kwanza uwezo wa Orlando Pirates kabla ya mechi hii wakiwa ugenini, halafu tafakari uwezo wa Simba kwa jinsi walivyocheza jana.
Simba jana waliweza kucheza vizuri kuzuia kufungwa wakiwa uwanja wa nyumbani, wakacheza vizuri kuweza kupata goli la ushindi wakiwa nyumbani. Hayo ni matokeo na hatua njema ya kuweza kuanzia katika kujipanga game ya marudiano.
Kajitahidi kusoma ila kashindwa kuelewa.Kwenye mpira wa miguu unapocheza away jambo la kwanza ni kuzuia kutofungwa kwa maana ya kutafuta sare, jambo la pili ni kutafuta goli la ugenini.
Na inapotokea imeshindikana na umeeuhusu goli basi jambo la tatu ni kufanya kila namna usifungwe magoli mengi ili ukawa na mlima mrefu kwenye mechi ya marudiano.
Alichoongea jamaa sidhani kama umemurlewa, hofu yake ni jinsi simba inavyocheza away msimu huu unampa mashaka ni heri wangepata advantage ya kuwapa Orlando mrefu wa kuupanda.
Mechi ya Simba vs Red arro, Simba walipata advantage ya magoli matatu lakini walivyoenda Zambia mpira waliocheza ulikuwa unasikitisha. Wale wazambia wangekuwa makini game walikuwa wanaimaliza first half, mechi ya berkane, ya Assec away.
Alichosema makaveli10 ni huko ugenini Simba wanabidi wabadilike ili kuweza kufuzu lasivyo watakutana na zahama