tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Binafsi Wakenya kuna baadhi ya maneno ya kiswahili nawakubali, mfano shule ya "upili" badala ya shule ya "sekondari"
Ipo tofauti kati ya devolution na decentralization? Tatizo ni kuwa maneno mengi ya Kiswahili yanabuniwa na watu wachache badala ya kubuniwa na jamii la kiswahili. Viongozi wetu hutukosea sana kwa kukosa maono.
Kwa mfano, Neno Stakeholders lilikuwa likijulikana kama Washika Dau. Siku hizi, ni wadau. Kwani nini kilifanyika?