TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Baadaya ya manyunyu kutamaradi, sasa mvua inaweza kunya wakati wowote.
"Watu wote wanaofanya biashara kidigitali tunawaomba mfike katika ofisi zetu kwa ajili ya usajili wa biashara hizo"
"Sambamba na hilo tunaendelea kufatilia wateja wenu mnaowahudumia ili tupate taarifa sahihi za biashara zenu"
"Tunatambua kuna watu hawana maduka na hawana TIN kwa ajili ya biashara wanazofanya"
"Na wengine wana maghala makubwa ya kuhifadhi bidhaa na kisha kuuza kidigitali. Sasa nyinyi nyote mnapaswa kuja kujisajili".
"Watu wote wanaofanya biashara kidigitali tunawaomba mfike katika ofisi zetu kwa ajili ya usajili wa biashara hizo"
"Sambamba na hilo tunaendelea kufatilia wateja wenu mnaowahudumia ili tupate taarifa sahihi za biashara zenu"
"Tunatambua kuna watu hawana maduka na hawana TIN kwa ajili ya biashara wanazofanya"
"Na wengine wana maghala makubwa ya kuhifadhi bidhaa na kisha kuuza kidigitali. Sasa nyinyi nyote mnapaswa kuja kujisajili".