Wanaofanya biashara mtandaoni waanza kutozwa ushuru

Wanaofanya biashara mtandaoni waanza kutozwa ushuru

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Kuanzia mwezi huu biashara za mtandaoni zitatozwa ushuru wa aslimia 1.5 kutokana na shughuli hizo za kidijitali.

Kwenye taarifa mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini-KRA imesema kuwa sheria ya mwaka 2020 ilianzisha aina mpya ya ushuru wa kidijitali-DST ambao ulianza kutozwa tarehe Mosi mwaka 2021.

Ushuru huo wa aslimia 1.5 ya mapato utatatozwa wale wanaopata mapato au riziki yao kwa njia ya kidijitali.

Ushuru huo utalipwa wakati wa kutolewa malipo kwa huduma iliotolewa.

Taarifa hiyo kutoka ofisi ya kamishna wa kitengo cha ushuru cha humu nchini, inasema kuwa kwa wakazi na kampuni a humu nchini,ushuru huo utatozwa wakati wa kipindi cha mwaka huu cha ulipaji ushuru juu ya mapato.

Kwa wale ambao si wakazi wa humu nchini ikiwa ni pamoja na kampuni za kigeni, ushuru huo utakuwa wa mwisho kutozwa.
 
Acheni kupotoshana, bloggers huwa wanatoa huduma ipi hiyo ambayo inahitaji malipo? "Ushuru huo utalipwa wakati wa
kutolewa malipo kwa huduma
iliotolewa."
ebu leta hiyo sheria tuione!

KAZI NI KAZI

Kenyan YouTube Vloggers Could Pay The Taxman 30%​

7f3a7d74f8204d9b91e878cc14851140

By
Capital Campus
Published
May 9, 2018
laptop-girl.jpg

Close up portrait of a young african american woman looking out window when working on laptop
0
SHARES
ShareTweet


Kenya YouTube vloggers could now be required to pay tax.
Based on a recent post by the Ushuru a local private tax compliance certificate tax advisor, the internet personalities might be required to file their taxes providing information on their annual earnings and pay a tax amounting to 30% to the Kenyan government.




Tanzania has already put in place a similar law. According to Nairobi News, “Tanzania’s new law requires any citizen operating a blog or website to pay an annual license fee of Sh44,000.” However, the new regulations were met with opposition among Tanzania’s bloggers. Soon after the announcement of bloggers tax, “a temporary court injunction has ruled against the Tanzanian government’s legislation demanding bloggers pay a $930 fee to publish content. The blogging fee, part of sweeping internet regulations, would give the authorities unprecedented control over the internet.”

If enforced, such action would have many questioning its effects on freedom of speech and expression as well as stifling the growth of alternate industries that could provide Kenya’s youth with employment.

So far there has been no official communication from the Kenya Revenue Authority on the matter.

 
Kuanzia mwezi huu biashara za mtandaoni zitatozwa ushuru wa aslimia 1.5 kutokana na shughuli hizo za kidijitali.

Kwenye taarifa mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini-KRA imesema kuwa sheria ya mwaka 2020 ilianzisha aina mpya ya ushuru wa kidijitali-DST ambao ulianza kutozwa tarehe Mosi mwaka 2021.

Ushuru huo wa aslimia 1.5 ya mapato utatatozwa wale wanaopata mapato au riziki yao kwa njia ya kidijitali.

Ushuru huo utalipwa wakati wa kutolewa malipo kwa huduma iliotolewa.

Taarifa hiyo kutoka ofisi ya kamishna wa kitengo cha ushuru cha humu nchini, inasema kuwa kwa wakazi na kampuni a humu nchini,ushuru huo utatozwa wakati wa kipindi cha mwaka huu cha ulipaji ushuru juu ya mapato.

Kwa wale ambao si wakazi wa humu nchini ikiwa ni pamoja na kampuni za kigeni, ushuru huo utakuwa wa mwisho kutozwa.
Huu uzi wako umekaa kiudaku sana. Hauna majina ya taasisi, majina ya watoa tamko na vyeo vyao. Tarehe ya matamko na njia watatumia. Hebu msiwe mnatoa taarifa nusu nusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi sheria zinalenga kupata ushuru au ni fimbo ya kunyamazisha sauti za watu tu ( censorship)?
 
We kweli mwehu, Geza Ulole, taarifa za 2018 ambazo zinataja ushuru wa 30%. Sheria ambayo haikufanikishwa baada ya mahakama kuitupilia mbali inahusiana vipi na hizi za ushuru wa 1.5% kwa wanaofanya biashara mitandaoni? Tena utaifananishaje hii na licence fees ambazo dikteta wenu uchwara anawatoza bloggers? 😕😕😕
 
We kweli mwehu, Geza Ulole, taarifa za 2018 ambazo zinataja ushuru wa 30%. Sheria ambayo haikufanikishwa baada ya mahakama kuitupilia mbali inahusiana vipi na hizi za ushuru wa 1.5% kwa wanaofanya biashara mitandaoni? Tena utaifananishaje hii na licence fees ambazo dikteta wenu uchwara anawatoza bloggers? 😕😕😕
Nimeshangaa eti blogging siku hizi ni kazi! 😂 😂 😂 What services or goods are they selling online?
 
Nimeshangaa eti blogging siku hizi ni kazi! What services or goods are they selling online?
I once asked some 'slay queen' what she does for a living and she replied, "I find myself blogging on park benches". Her exact words not mine and I was like, bitch just say you are a certified CSW! A Commercial Sex Worker. [emoji38]
 
Back
Top Bottom