comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Yani kuweka Sura ya Rais kwenye miili ya VIJANA waliochoka namna hii nayo nikumkosea na kumchoresha Rais.🤣🤣
Unasema Rais anaupiga mwingi halafu wananchi wake ndio wamepauka hivi!
Wangekua wanawapiga misosi na kuwanunulia VIATU na Suruali waendane na sifa anazopewa Rais aisee 🤣 sio kuwavisha fulana tuu!
=====
Pia soma: LIVE - Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Unasema Rais anaupiga mwingi halafu wananchi wake ndio wamepauka hivi!
Wangekua wanawapiga misosi na kuwanunulia VIATU na Suruali waendane na sifa anazopewa Rais aisee 🤣 sio kuwavisha fulana tuu!
=====
Pia soma: LIVE - Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025