Yani kuweka Sura ya Rais kwenye miili ya VIJANA waliochoka namna hii nayo nikumkosea na kumchoresha Rais🤣🤣
Unasema Rais anaupiga mwingi halafu wananchi wake ndio wamepauka hivi, wangekua wanawapiga misosi na kuwanunulia VIATU na Suruali waendane na sifa anazopewa Rais aisee 🤣 sio kuwavisha flana tuu